Katavi: Ndoa yafanyika bila Bibi harusi

Katavi: Ndoa yafanyika bila Bibi harusi

Mangi Meno

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2024
Posts
292
Reaction score
895
Habari hii imeripotiwa kwenye habari wikiend na UTV.

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.

Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata hivyo kwasababu ambazo bado hazijawekwa wazi, bibi harusi mtarajiwa hakufika kanisani wala ukumbini.

 
Habari hii imeripotiwa kwenye habari wikiend na UTV.

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.

Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata hivyo kwasababu ambazo bado hazijawekwa wazi, bibi harusi mtarajiwa hakufika kanisani wala ukumbini.

Nakuongezea udambwi udambwi

 
Habari hii imeripotiwa kwenye habari wikiend na UTV.

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.

Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata hivyo kwasababu ambazo bado hazijawekwa wazi, bibi harusi mtarajiwa hakufika kanisani wala ukumbini.

Ujinga huu ni zaidi ya ubaya ubwela
 
Habari hii imeripotiwa kwenye habari wikiend na UTV.

Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.

Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata hivyo kwasababu ambazo bado hazijawekwa wazi, bibi harusi mtarajiwa hakufika kanisani wala ukumbini.

Mwandishi uandishi wako hauko sahihi
Hakuna ndoa ya mtu mmoja
Ungesema amefanya sherehe peke lakini sio kusema afunga ndoa peke yake haipo ndoa ya aina hiyo popote duniani
 
Bora sherehe imefanyika, kwahiyo mama mkwe hataki mkwewe achangamke?
Mtu ameamua kupunguza aibu Kwa kunywa kilevi
 
Uyo bint kajtafutia laana bila kutarajia Ndoa ataishia kuiona kwa wengne
Hii kitu ilitokea kwa cousin, yule bint moaka hajawahi kuolewa, ile huwa inageuka kuwa laana. Kama bint au familia yake haito mtafuta jamaa kuomba msamaha hakuna ata stuck hapo hapo for a while
 
Hakuna ndoa iliyofanyika rekebisha Heading.
Maana ukisema ndoa imefanyika bila bibi harusi maana yake jamaa amejioa mwenyewe na hayo ni matusi.
 
Sio chezo hili la magharibi? Vijana huenda walimpanga binti ajiondoe dk za lala salama Ili wao wapeane keki kama mnavyoona
 
Back
Top Bottom