Mangi Meno
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 292
- 895
Habari hii imeripotiwa kwenye habari wikiend na UTV.
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.
Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata hivyo kwasababu ambazo bado hazijawekwa wazi, bibi harusi mtarajiwa hakufika kanisani wala ukumbini.
✍
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.
Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata hivyo kwasababu ambazo bado hazijawekwa wazi, bibi harusi mtarajiwa hakufika kanisani wala ukumbini.
✍