Katazo: Tuzuie Wanafunzi wenye Sifa Duni Kujiunga na Kozi za Uuguzi

Katazo: Tuzuie Wanafunzi wenye Sifa Duni Kujiunga na Kozi za Uuguzi

DidYouKnow

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2019
Posts
1,229
Reaction score
1,950
Uuguzi ni mojawapo ya kazi inayohitaji huruma na uwezo mkubwa wa akili. Kwa bahati mbaya sana, uuguzi Tanzania imekuwa ni sehemu ambayo wanaenda kusoma wahitimu wa masomo ya sekondari wenye ufaulu duni.

Tabia hii imewafanya wauguzi wawe ni watandika vitanda, wageuza wagonjwa, wasafisha wagonjwa na wafanya usafi kwenye maeneo ya kazi.

Wauguzi wengi huwa hawana uelewa wa kutosha wa magonjwa yanayowasibu wateja wao, na hivyo wao hufuata tu maelekezo toka kwa madaktari ambayo hawawezi ku-question hata siku moja. Hii ni hatari sana.

Bahati mbaya sana hawa wauguzi huenda kufanya kazi na madaktari, ambao nako sasa kumeanza kuharibika kwa kuwa na vyuo utitiri visivyo na sifa ambavyo huchukua kila mtu mwenye ndoto ya kuwa daktari kwenda kusomea udaktari hata kama ana ufaulu duni. Wengine wakishindwa kusomea Tanzania kutokana na ufaulu hafifu wanakimbilia China, Uturuki na nchi nyinginezo za Asia ambako kuna vyuo vidogo katika mataifa hayo, vinafanya biashara ya kutengeneza madaktari wasio na sifa.

Kina kitu kinapaswa kibadirike.
 
DidYouKnow, Kuna kitu hauelewi,ili kuwa muuguzi mzuri au daktari mzuti haitegemei ufaulu wa juu.Wapo wenye ufaulu mdoho au duni ila ni madaktari au manesi makini sana.

Hilo linategemeana na uwezo,kujituma,ubunifu na hamasiko toka ndani la mtu binafsi.Ndo maana wapo wazuri sana na walikuwa msaada mkubwa kwa watu ila wametumbuliwa vyeti feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hauelewi,ili kuwa muuguzi mzuri au daktari mzuti haitegemei ufaulu wa juu.Wapo wenye ufaulu mdoho au duni ila ni madaktari au manesi makini sana.Hilo linategemeana na uwezo,kujituma,ubunifu na hamasiko toka ndani la mtu binafsi.Ndo maana wapo wazuri sana na walikuwa msaada mkubwa kwa watu ila wametumbuliwa vyeti feki

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye fani ya udaktari wa binadamu hakuna kujituma, bali kuna uwezo wa kiakili! Usifananishe udaktari na kubeba zege, huku kwenye udaktari kunahitaji akili kubwa sana.

Yaani kummfanyia mtu mfano: operation hakuhitaji kujituma bali kuna hitaji akili kubwa sana, hivyo kwa wanafunzi wenye ufaulu mdogo huku sio mahala pao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uuguzi ni mojawapo ya kazi inayohitaji huruma na uwezo mkubwa wa akili. Kwa bahati mbaya sana, uuguzi Tanzania imekuwa ni sehemu ambayo wanaenda kusoma wahitimu wa masomo ya sekondari wenye ufaulu duni. Tabia hii imewafanya wauguzi wawe ni watandika vitanda, wageuza wagonjwa, wasafisha wagonjwa na wafanya usafi kwenye maeneo ya kazi.

Wauguzi wengi huwa hawana uelewa wa kutosha wa magonjwa yanayowasibu wateja wao, na hivyo wao hufuata tu maelekezo toka kwa madaktari ambayo hawawezi ku-question hata siku moja. Hii ni hatari sana.

Bahati mbaya sana hawa wauguzi huenda kufanya kazi na madaktari, ambao nako sasa kumeanza kuharibika kwa kuwa na vyuo utitiri visivyo na sifa ambavyo huchukua kila mtu mwenye ndoto ya kuwa daktari kwenda kusomea udaktari hata kama ana ufaulu duni. Wengine wakishindwa kusomea Tanzania kutokana na ufaulu hafifu wanakimbilia China, Uturuki na nchi nyinginezo za Asia ambako kuna vyuo vidogo katika mataifa hayo, vinafanya biashara ya kutengeneza madaktari wasio na sifa.

Kina kitu kinapaswa kibadirike.
Halafu ukiambiwa hizi ni akili za kimbuzi utabisha?

Bora nikuache na huo upopoma.. Pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu ukiambiwa hizi ni akili za kimbuzi utabisha?

Bora nikuache na huo upopoma.. Pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubali mkatae...
Alichosema mleta mada kina mantiki sana, zoa zoa ya wahitimu Vilaza na kuwapeleka vyuo vya Uuguzi athari zake ni kubwa sana, huwez kuelewa au kuunga hojja mkono maana huenda hata wewe ji miongoni mwao au nduguyo yupo kwenye msururu huo. Sekta ya Afya inatia wasiwasi juu ya weledi wao hasa kipindi hiki kigumu cha COVID
 
Kwenye fani ya udaktari wa binadamu hakuna kujituma, bali kuna uwezo wa kiakili! Usifananishe udaktari na kubeba zege, huku kwenye udaktari kunahitaji akili kubwa sana. Yaani kummfanyia mtu mfano: operation hakuhitaji kujituma bali kuna hitaji akili kubwa sana, hivyo kwa wanafunzi wenye ufaulu mdogo huku sio mahala pao

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na akili ndio nini?

Probably madhali mtu anasoma na anaweza kufanya mambo yake kwa vizuri inatosha huyu mtu kusema ana akili

Sasa kinachofuta hapo ni kujituma na ndio maana ya field... Kule watapelekwa wanafunz wakajifunze kwa vitendo, apo sasa ndio tunazungumzia kujituma.. Maana yake the more unavojituma hapo ndio the more utakavokua unaelewa..

na inawezekana ukawa umekariri vya kitosha darasani lakini kama hujitumi wakati wa mafunzo kwa vitendo, huwezi kupata kitu

"talking from experience"


Kwahio ondoa hiyo mentality ambayo unayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haoana kwa kwel secta ya afya inahitaj moyo ukisema mtu akae darsan hata akiwa anasoma vip na uelewa wakenila akiwabhapractise hamna kitu hapooo afya mtu baada ya kusoma nenda kajifunze passion kutoka moyon kumhudumia mtu kama alivosema mchangiaji mmoja

"Wapo manesi walikua vizur sanaa ila wametumbuliwa vyeti feki "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi wenzetu wao wanafanyaje kuhusu maswala ya ufaulu wa kiwango cha lami
 
Mkubali mkatae...
Alichosema mleta mada kina mantiki sana, zoa zoa ya wahitimu Vilaza na kuwapeleka vyuo vya Uuguzi athari zake ni kubwa sana, huwez kuelewa au kuunga hojja mkono maana huenda hata wewe ji miongoni mwao au nduguyo yupo kwenye msururu huo. Sekta ya Afya inatia wasiwasi juu ya weledi wao hasa kipindi hiki kigumu cha COVID
Wewe ndio unatia wasiwasi mana mimi naongea kwa kitu ambacho nina experience na kwa confidence kubwa...

Popote naweza kusema, haya mambo huwezi kuyaelewa kama hupo kwenye hii sector

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hauelewi,ili kuwa muuguzi mzuri au daktari mzuti haitegemei ufaulu wa juu.Wapo wenye ufaulu mdoho au duni ila ni madaktari au manesi makini sana.Hilo linategemeana na uwezo,kujituma,ubunifu na hamasiko toka ndani la mtu binafsi.Ndo maana wapo wazuri sana na walikuwa msaada mkubwa kwa watu ila wametumbuliwa vyeti feki

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya vitu haviitaji makaratasi.
Zaidi ya Tuseme karama na taaruma.
Sema hii fani imekuwa changanyikeni.
Et D 4 o level naye anataka kuwa daktari ??????
 
Haoana kwa kwel secta ya afya inahitaj moyo ukisema mtu akae darsan hata akiwa anasoma vip na uelewa wakenila akiwabhapractise hamna kitu hapooo afya mtu baada ya kusoma nenda kajifunze passion kutoka moyon kumhudumia mtu kama alivosema mchangiaji mmoja

"Wapo manesi walikua vizur sanaa ila wametumbuliwa vyeti feki "

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda watakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio wauguzi weledi hawana lakini kwenye uchaguzi wa wanafunzi wana consider ufaulu these days...hizi kazi hta mtu awe na A Safi zote ambaye huifanya vizuri zaidi ni mwenye wito tu.Si rahisi jamani bila wito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye fani ya udaktari wa binadamu hakuna kujituma, bali kuna uwezo wa kiakili! Usifananishe udaktari na kubeba zege, huku kwenye udaktari kunahitaji akili kubwa sana. Yaani kummfanyia mtu mfano: operation hakuhitaji kujituma bali kuna hitaji akili kubwa sana, hivyo kwa wanafunzi wenye ufaulu mdogo huku sio mahala pao

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili ni jambo la msingi lakini jitihada nalo la muhimu,ndio maana Kuna madaktar wengi lakini wanaoaminika ni wachache akili kila mtu angesoma
Medicine is an act of humanity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye fani ya udaktari wa binadamu hakuna kujituma, bali kuna uwezo wa kiakili! Usifananishe udaktari na kubeba zege, huku kwenye udaktari kunahitaji akili kubwa sana. Yaani kummfanyia mtu mfano: operation hakuhitaji kujituma bali kuna hitaji akili kubwa sana, hivyo kwa wanafunzi wenye ufaulu mdogo huku sio mahala pao

Sent using Jamii Forums mobile app
Ufaulu unahitajika siyo wa kidato cha nne au sita, swali la kujiuliza ni ufaulu wao chuoni, je mafunzo wanayopata chuoni yana viwango vinavyotakiwa?
 
sector ya afya inashidwa kutoa wataalamu wazuri wa afya kwasababu ya mazingira, miundo mbinu, na vitendea kazi

mwanafunzi wa afya anaitaji practice nyingi sana kuliko anacho kile anchokariri darasani na tukikaa uo upande wa practice ni willing ya ndio itatengeze mtaalamu mzuri wa afya, akili na grades nzuri tunaziitaji tukiamini watoto wenye akili wanakua sharp na ambitious lakin lakini akili na grades sio kigezo cha moja kwa moja kupata doctor au nurse mzuri
hatuna hospitals zakutosha kwasababu ya kupractice, hatuna vitendea kazi vizur vya kupractice yani tupo cheap sana kwenye upande wa afya kwasbabu mambo yake ni expensive

doctor ni practice na practice anaweza kufanya mtu yoyote hata uyo aliepata D flat kama akiwekewa mazingira mazur yakujifunza,

nina mifano hai ya rafk zangu wachache wamesoma hizi kozi za afya moja wawili walipita direct mpaka muhimbili, mmoja alipata vi D D vya o level akachukua diploma baada ya diploma akaunganisha degree na alikua konki sana mpaka wagonjwa wanamuulizie yeye tu, kwa mfano huu nani alikua nagrade nzur na nani amekua great doctor!?
 
Back
Top Bottom