Katekista afanya viroja kanisani

Milele Amina mtani..

Huyo katekista alipiga balimi nini??
mmh! sijui alikunywa kinywaji gani, ila wanaomjua wanasema alikuwa cha pombe akaacha, kwa hiyo siku ndio wakawa wanajiuliza na kushangaa kuwa kumbe karudia tena tabia yake ya ulevi!!!
 
kuna tofauti gani kati ya paroko na padri
Nikujibu kwa dhana ya ualimu

1. Mnaweza mkawa waalimu mna elimu sawa lakini Mmoja wenu akachaguliwa kuwa mwalimu mkuu

2. Kila paroko ni padre lakini sii kila padre ni paroko

3. Paroko ni padre aliyechaguliwa miongoni mwa mapadre kuwa mkuu wa parokia

4. Hivyo paroko ni sawa sawa na mwalimu mkuu ambaye huchaguliwa kuongoza shule na anawezekana akabadilishwa muda wowote na kuwa mwalimu wa kawaida
 
sawa sawa
 
Ndio maana mimi niliukimbia kabisa Ukatoliki... Sitaki kabisa hata kuusikia.
Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Wala hujawahi kuwa katoliki, zaidi uko humu JF na ID yako kwa ajili ya kuponda ukatoliki
 
Reactions: Ntu
Naomba huyo katekisti aachwe.,,,! Hiyo kazi ni ngumu mno....!
 
mmh! sijui alikunywa kinywaji gani, ila wanaomjua wanasema alikuwa cha pombe akaacha, kwa hiyo siku ndio wakawa wanajiuliza na kushangaa kuwa kumbe karudia tena tabia yake ya ulevi!!!
Dooh salaaale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…