MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Bakari Mwamnyeto Kasajiliwa kwa Bei ya juu na Yanga SC na Gari bovu ( japo aliambiwa ni jipya) ila anaishia tu Kucheza VPL, Mechi za Kirafiki za Chamazi na ile Michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar na kama akicheza Michuano ya Kimataifa basi ni ile tu inayohusisha Timu ya Taifa (Taifa Stars) pekee ambako na kwenyewe huko inasemekana huwa anaonekana ni Uchochoro kwa Washambuliaji na Mchezaji anayeongoza kwa Kuchomesha huku akiwa ni Mzoefu wa Kupanda Mabasi pekee.
Ibrahim Ame Kasajiliwa kwa Bei ya Kati (Kawaida) Simba SC ila anacheza VPL, anacheza sasa CL ya Afrika, anapata Posho Kubwa za Simba SC, anapanda sana Ndege ndani na nje ya Tanzania mara kwa mara, Mshahara wake hauchelewi Kuingizwa katika Akaunti yake, hakopwi na Klabu, katika Mgao wa Ushindi wa Jana dhidi ya FC Platinum wa Tsh 250 Million yupo na hata katika Pesa ambayo Simba SC inaenda Kupata kwa Kuingia Makundi Tsh 1.3 Billion pia ana Mgao wake.
Mimi siyo Mshabiki sana wa Mpira wa Tanzania na si Mshabiki wa Simba au Yanga au Azam, ila nitashukuru mkinijibu nani hapa amefanikiwa mno.
Ibrahim Ame Kasajiliwa kwa Bei ya Kati (Kawaida) Simba SC ila anacheza VPL, anacheza sasa CL ya Afrika, anapata Posho Kubwa za Simba SC, anapanda sana Ndege ndani na nje ya Tanzania mara kwa mara, Mshahara wake hauchelewi Kuingizwa katika Akaunti yake, hakopwi na Klabu, katika Mgao wa Ushindi wa Jana dhidi ya FC Platinum wa Tsh 250 Million yupo na hata katika Pesa ambayo Simba SC inaenda Kupata kwa Kuingia Makundi Tsh 1.3 Billion pia ana Mgao wake.
Mimi siyo Mshabiki sana wa Mpira wa Tanzania na si Mshabiki wa Simba au Yanga au Azam, ila nitashukuru mkinijibu nani hapa amefanikiwa mno.