Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Nike na Adidas nawaelewa zaidi.
Kipindi nipo Secondary karibia kila kitu changu kilikuwa Nike, nakumbuka nipo form two shule walileta mipira kwa ajili ya wanafunzi, nikachukua kiwembe nikaichonga logo ya Nike vizuuuri kwenye ile mipira aisee, haikuchukua wiki ikatoboka yote.
Team Nike hapa...!
Kipindi nipo Secondary karibia kila kitu changu kilikuwa Nike, nakumbuka nipo form two shule walileta mipira kwa ajili ya wanafunzi, nikachukua kiwembe nikaichonga logo ya Nike vizuuuri kwenye ile mipira aisee, haikuchukua wiki ikatoboka yote.
Team Nike hapa...!