Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Ndula za baba ubaya hizi😂Adidas wakua watamu enzi ya zile zinye sole ya kikatuni Adidas equipment baada ya hapo niza kawaida tu
View attachment 2164185
View attachment 2164187
View attachment 2164189
Ndula za baba ubaya hizi😂
Napenda nikeReebok
Nike level nyingine kabisaNike na Adidas nawaelewa zaidi.
Kipindi nipo Secondary karibia kila kitu changu kilikuwa Nike, nakumbuka nipo form two shule walileta mipira kwa ajili ya wanafunzi, nikachukua kiwembe nikaichonga logo ya Nike vizuuuri kwenye ile mipira aisee, haikuchukua wiki ikatoboka yote.
Team Nike hapa...!
View attachment 2178044
Reebok
Nike level nyingine kabisa
hii ya mwisho ni kaliBado sijaona wakunitoa kwenye hii Brand..View attachment 2178895View attachment 2178896View attachment 2178897