Kati ya AISHA na ZUCHU yupi yupo vizuri kwenye vokoz?

Kati ya AISHA na ZUCHU yupi yupo vizuri kwenye vokoz?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habari za Leo wadau,

Binafsi mimi nimetokea kumkubali sana mwanamuziki AISHA. Namwona mbali sana, katika vokozi. Pengine naweza kusema anakuja kuwa malkia wa Muziki Tanzania.

Hivi tukiwalinganisha na ZUCHU unadhani yupi ni mkali kwenye vokozi. Hili ni song jipya la AISHA linaitwa Tamutamu, mimi nimeipenda midundo iliyogongwa kwenye hili song ya kimbelembele.

 
Back
Top Bottom