Amen,Nakutakieni mema wote
pokea baraka hizo au huzitaki? 😅😅[emoji23] mawazo yako wewe
Hayo mawazo yako hata siyataki [emoji23]Ndio ni mawazo mazuri[emoji23]
[emoji23]Amen,
pokea baraka hizo au huzitaki? [emoji28][emoji28]
“Aposto unanichota unyayo” 🤣🤣🤣🤣🤣Kwenye kuzoa mchanga nilicheka sana
Kaka hivi huyo jamaa mbona huivi nae? Ni hizi hizi simulizi au mnafahamiana nje ya hapa? 😅😅😅😅Leo nimeshangaa sana mashabiki wa umughaaka wote wamemjeuka
Kweli Moyo ya mtu Ni kichaka inaficha mengi
Wale wote waliokuwa wanampamba na kumuambia wew Ni mpambnaji ,wee Ni mwamba wote kura wamezipeleka kwa Analyse
Kuna kitu umughaaka amewaudhi mashabi zake Hadi wakampaisha analyse
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hajabebwa na stori yake ya sasa.Ila ninachoamini Analyse story yake inayotrend now imembeba zaid ktk bandiko hili
Labda Kama umeanza kusoma hiyo ndio story yako ya kwanza,tafuta nyingine alizotoaIla ninachoamini Analyse story yake inayotrend now imembeba zaid ktk bandiko hili
Hapa umeongea ukweli Saint Anne, Umughaka habari za kujibizana na haters mara awafungulie uzi kunampotezea sanaNimekumbuka stori ya pua ya Analyse [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na yule mchaga aliyesema "Niambie jembe langu"[emoji1787]
Kitu kinachombeba Analyse,hana muda wa kugombana na haters.
UMUGHAKA nimekumbuka alivyokuwa anaongea na shemeji yake alipopigwa zile hela m9[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema apunguze kidogo hasira.