Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Jamaa akipunguza hasira kidogo tu basi ni mwamba sanaHapa umeongea ukweli Saint Anne, Umughaka habari za kujibizana na haters mara awafungulie uzi kunampotezea sana
Kiukweli Mimi namkubali Umughaka kuliko Analyse
Ila sasa huyu Muraah sijui ndo ukurya upo kwenye damu[emoji16]
Yaani anaamua kufupisha stori na kuimaliza ghafla kisa watu wamemkera!
Uvumilivu hana.