Sometime unajiumiza tu. Maana ww utakuwa na hasira, ila unayibishana nae, yupo kwa shemeji kashika rimoti ya tv 😅😅Jamaa kwa kupambana Nampa asilimia zote🙌
Subiri aje utaona anavyonyoka na haters wanaomkejeli.
Mzee wa chaboAhahahah mi ndo yule chawa wake ranga....[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Mkuu nishaacha mambo ya chabo 🤓🤓🤓🤓Mzee wa chabo
[emoji3][emoji3] Toka njeeeeMkuu nishaacha mambo ya chabo [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Naogopa braza dunga atanidaka
"Aposto umenizoa unyayo, aposto umenizoa unyayo.."Aliniacha hoi walipoamua kumbeba mpaka kwenye gari, yani kama nilikua namuona japo hata simjui.
🤓🤓🙌🙌🙌 Daah hard life....[emoji3][emoji3] Toka njeeee
Umugaka hajielewi ,muongo halafu hana kumbukumbuInakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
I'm new it's hard to choose lakn the first post I saw ni ya analyse na nimeipenda tayar,yeye ni Bora,looking forward to see what UMUGHAKA has in mindInakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?
Umaghaka " apewe maua yake aiseee stori yake ni hatarii sanaInakuwaje wanaJamiiForums
Kutoa appreciation ni jambo zuri hususa kwa yule mtu ambae amejitolea kutoa simulizi bila ya malipo yoyote lengo tujifunze, tuburudike, tuonyeke na vinginevyo
Haya masuala ya tunzo naamini kwao sio lengo kwao hasa ukizingatia yameanza juzi tu
Kama wew ni mtu wa kufuatilia mikasa huwezi kukosa kuwajua watu hawa Analyse na UMUGHAKA
Naweza sema hawa jamaa kwasasa ndio best story teller haijalishi iwe uhalisia ama sio ila uandishi wao, namna ya kuhadithia, upangiliaji wa matukio unaona kabisa kuna upekee ndani yao, inafika hatua hadi watu wanakuwa na addiction na story zao[emoji23][emoji23]
Wote ni wakali ila yupi ni mkali zaidi kwa upande wako?