profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
belta ipi mkuu?kuna ya cc 1000,na kuendelea..Ningekuwa na hela ningechagua toyota belta.Gari ya ndoto yangu
Kama njia yako mbovu sana ...nakushauri ist au run x uipandishe juu kidogonjia yangu kama km 7 ni rafu road,body ya axio yaweza himili?kuna ya cc ngapi,ulaji mafuta upoje,spea zake c ni ghali sana na shida kupatikana,au kuna gari inaingiliana spare?body yake naona kama imekaa kimayai(axio),alovera said
[emoji23][emoji23]Usichukue Raum mkuu utakuja kuji_LAUM
apo kuna sedan ambayo ni premio subaru suv na outlander ni suv kama budget ipo outlander ndo gariHivi premio, subaru na mitsubish outlander ipi ni bora na sababu gani
Kwa kuanzia maisha sio mbaya kuanza na premioapo kuna sedan ambayo ni premio subaru suv na outlander ni suv kama budget ipo outlander ndo gari
Milango ya raum...utafikiri unafungua geti la fensi ya nyumbaNina Raum na naipenda kufa...haina tatizo lolote mlango nishaujulia
Hii gari ntaanza nayo maisha mambo yakiwa vzuriChukua Premio hutojutia ,nimeitumia hii gari ipo vizuri sana
Au mlango wa daladalaMilango ya raum...utafikiri unafungua geti la fensi ya nyumba
kubabeq 😀Asee ww unahitaji lc300 km150 kila siku kwa hivi vi gari vidogo itakuumiza mgongo
kubabeq 😀
nikipata hii chuma ijumaa nipo arusha,jumamosi nasalia singida jumapili naenda kula bata MALAIKA MWANZA na watoto wazuri
Huj ndio unyama sasa sio mambo ya ulaji mdogo wa mafuta hizo sio shida za lc