M Mropoka Hovyo JF-Expert Member Joined Sep 28, 2023 Posts 446 Reaction score 1,253 Jan 3, 2025 #1 Kati ya bodaboda au Bajaji ya mizigo kipi kinafaida endapo mtu akiamua kokomaa kabisa wakuu
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Jan 3, 2025 #2 Huwa naona ni biashara kichaa hizo,yani hilo bajaji la mzigo linauzwa 6m,afu kwa siku linakuingizia elfu 15 tu.
Huwa naona ni biashara kichaa hizo,yani hilo bajaji la mzigo linauzwa 6m,afu kwa siku linakuingizia elfu 15 tu.
K Kweyee JF-Expert Member Joined Sep 4, 2016 Posts 525 Reaction score 600 Jan 4, 2025 #3 kyagata said: Huwa naona ni biashara kichaa hizo,yani hilo bajaji la mzigo linauzwa 6m,afu kwa siku linakuingizia elfu 15 tu. Click to expand... Bajaj imeshafika 12ml na kwa siku ni sh 15 - 20,000
kyagata said: Huwa naona ni biashara kichaa hizo,yani hilo bajaji la mzigo linauzwa 6m,afu kwa siku linakuingizia elfu 15 tu. Click to expand... Bajaj imeshafika 12ml na kwa siku ni sh 15 - 20,000
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 10,406 Reaction score 19,892 Jan 4, 2025 #4 Kweyee said: Bajaj imeshafika 12ml na kwa siku ni sh 15 - 20,000 Click to expand... Biashara kichaa hiyo.
Kweyee said: Bajaj imeshafika 12ml na kwa siku ni sh 15 - 20,000 Click to expand... Biashara kichaa hiyo.