Kati ya DED na DAS nani bosi wa mwingine?

Kati ya DED na DAS nani bosi wa mwingine?

Mkuu, Umenukuu Kifungu cha 22(2) cha Local Government Service Act No. 10 of 1982 ambacho kinampa mamlaka Mhe Rais kuteua wakurugenzi ambao wapo kwenye Category VI to VII na wakurugenzi hao waliokusudiwa hapa ni wa manispaa na majiji (Municipal Directors na City Directors).

Hebu cheki na Kifungu kidogo cha 3 hapo chini yaani 22(3) utaona kuwa Waziri wa TAMISEMI ndiye mamlaka ya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya (DEDs) .

Hata awamu zilizopita, wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya walikuwa wakiteuliwa na Waziri wa TAMISEMI isipokuwa wale wa majiji na manispaa.
Nahisi tunanukuu sheria mbili tofauti, The Local Government Service Act ya 1982 niliyotumia inasema hivi, nanukuu kifungu cha 22 kifungu kidogo cha kwanza na cha pili

Section 22 (1) "There shall be a District Executive Director for each district".
Section 22 (2) "The Director shall be appointed by the President, on the advice of the Commission, upon such terms and conditions as the President may specify in the instrument of appointment".

Kifungu cha 32 (2) The President shall, on the advice of the Commission, appoint in respect of each Town, Municipal or City Council, Director".

Kifungu cha 22(3) ulichoniambia nisome kinasema "The Director shall, subject to this Act and to the general or specific directions of the district council, be the chief executive officer of the council and shall be answerable to the council for the discharge and exercise of his functions and powers"

Labda kama umesom sheria iliyofanyiwa marekebisho ila kwahii ya mwaka 1982 wakurugenzi wa wilaya (DED) wanateuliwa kwa mujibu wa kifungu cha 22(2), wakati wale wa mamlaka za miji wanateuliwa kwa mujibu wa kifungu cha 32(2). Ebu angalia vizuri, ingawa nakiri kuwa kuna inawezekana sheria ikawa imefanyiwa marekebisho maana hii ninayonukuu ni ya siku nyingi.
 
Nahisi tunanukuu sheria mbili tofauti, The Local Government Service Act ya 1982 niliyotumia inasema hivi, nanukuu kifungu cha 22 kifungu kidogo cha kwanza na cha pili

Section 22 (1) "There shall be a District Executive Director for each district".
Section 22 (2) "The Director shall be appointed by the President, on the advice of the Commission, upon such terms and conditions as the President may specify in the instrument of appointment".

Kifungu cha 32 (2) The President shall, on the advice of the Commission, appoint in respect of each Town, Municipal or City Council, Director".

Kifungu cha 22(3) ulichoniambia nisome kinasema "The Director shall, subject to this Act and to the general or specific directions of the district council, be the chief executive officer of the council and shall be answerable to the council for the discharge and exercise of his functions and powers"

Labda kama umesom sheria iliyofanyiwa marekebisho ila kwahii ya mwaka 1982 wakurugenzi wa wilaya (DED) wanateuliwa kwa mujibu wa kifungu cha 22(2), wakati wale wa mamlaka za miji wanateuliwa kwa mujibu wa kifungu cha 32(2). Ebu angalia vizuri, ingawa nakiri kuwa kuna inawezekana sheria ikawa imefanyiwa marekebisho maana hii ninayonukuu ni ya siku nyingi.
Hebu soma mwenyewe, ni local government service act 1982 hii
IMG_20180809_161623.jpg
 
DC anateuliwa na Rais wa Jamhuri lakini DED anateuliwa na Waziri wa TAMISEMI. DC anakazi zake na DED anakazi zake, hawaingiliani.
Ila hawa wakurugenzi (DED) wa juzi kati wameteuliwa na Brother Magu mpaka yule Mtangazaji wa Clouds na wengine. Marejeo hapo chini
Rais Magufuli ateua Wakurugenzi wa Halmashauri za Majiji, Manispaa, Miji na Wilaya za Tanzania Bara - JamiiForums
Orodha ya wakurugenzi walioteuliwa leo na Rais Magufuli – Millardayo.com
JPM ateua wakurugenzi halmashauri za majiji, wilaya
 
Mkuu, Umenukuu Kifungu cha 22(2) cha Local Government Service Act No. 10 of 1982 ambacho kinampa mamlaka Mhe Rais kuteua wakurugenzi ambao wapo kwenye Category VI to VII na wakurugenzi hao waliokusudiwa hapa ni wa manispaa na majiji (Municipal Directors na City Directors).

Hebu cheki na Kifungu kidogo cha 3 hapo chini yaani 22(3) utaona kuwa Waziri wa TAMISEMI ndiye mamlaka ya uteuzi wa Wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya (DEDs) .

Hata awamu zilizopita, wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya walikuwa wakiteuliwa na Waziri wa TAMISEMI isipokuwa wale wa majiji na manispaa.
Wadau Nestory Yamungu na MZEE RAZA, Kwa awamu hii jamaa kateua wote yaani jiji, manispaa, miji na halmashauri kama barua iliyoambatanishwa kwenye uzi huu
Rais Magufuli ateua Wakurugenzi wa Halmashauri za Majiji, Manispaa, Miji na Wilaya za Tanzania Bara - JamiiForums
 
DC anateuliwa na Rais wa Jamhuri lakini DED anateuliwa na Waziri wa TAMISEMI. DC anakazi zake na DED anakazi zake, hawaingiliani.

Hawaingiliani mpaka pale wanapoishiwa hela ya mafuta wanaenda kujichekesha kwa DED awafanyie tahfifu🤣🤣🤣🤣
 
Hao wote pamoja na DC wao wananyanganyana kazi na kila mmoja akijipendekeza kwa aliyewateua.
 
DED ni mkuu wa IDARA YA SERIKALI yenye majukumu ABC...Z kwenye eneo flan yaan Halmashauri. DAS ni mkuu wa SERIKALI ya eneo flan yaani WILAYA yenye majukumu 1,2,3....n.

Sasa: Tofauti ni mbili kwa mujibu wa maelezo hayo hapo juu

1. DED majukumu yake yaan masuala anayosimamia yako "defined" ndo maana yanamwisho yaan ABC zinao ukomo na ukomo wake ni herufi "Z". Nje ya herufi "Z" huyu DED hana la kufanya, amefungwa kimadaraka na mamlaka. Na hiyo ndio maana halisi ya kusema anaongoza IDARA. Kwa kawaida Idara inamajukumu yenye ukomo; yaani inaweza kua na suala ambalo haliwahusu. Mfano Idara ya Information technology haiwezi kuhusika na suala la Manunuzi kwasababu haihusiki na manunuzi, hata yangekua ya sukari robo.

DAS yeye majukumu yake yapo "open ended" katika mfumo wa tarakimu 1,2,3... na yanaendelea mpaka namba "n". Kimahesabu "n" ni namba isiyona mwisho (infinity) kwakua namba hazina mwisho. Na ndio sababu ya kusema yeye ni mkuu wa usimamizi wa shughuli za SERIKALI kwenye wilaya husika. Ni SERIKALI na sio IDARA kwasababu majukumu yake hayana mipaka ya kiusimamizi; cha muhimu tu iwe ni ndani ya wilaya. Hata jambo lisilokua na Idara DAS atalitaftia namna yoyote ya kulishughulikia/kusimamia kwa kutumia mikono ya Serikali (m.f Jeshi, Polisi, Fire, TISS, mgambo etc)

Tofauti moja kubwa na ya mwisho ni kwamba

DED ni kiongozi wa HALMASHAURI wakati DAS ni kiongozi wa WILAYA. Wilaya moja inaweza kua na Halmashauri 2 lakini Halmashauri 1 haiwezi kuwa kwenye wilaya 2.

Mfano: Nzega, Kondoa ni wilaya zenye halmashauri 2. Halmashauri ya Wilaya ya Nzega na Halmashauri ya Mji wa Nzega na Halshauri ya Kondoa District na Kondoa Town council.

Hapo vipi??
 
H
DED ni mkuu wa IDARA YA SERIKALI yenye majukumu ABC...Z kwenye eneo flan yaan Halmashauri. DAS ni mkuu wa SERIKALI ya eneo flan yaani WILAYA yenye majukumu 1,2,3....n.

Sasa: Tofauti ni mbili kwa mujibu wa maelezo hayo hapo juu

1. DED majukumu yake yaan masuala anayosimamia yako "defined" ndo maana yanamwisho yaan ABC zinao ukomo na ukomo wake ni herufi "Z". Nje ya herufi "Z" huyu DED hana la kufanya, amefungwa kimadaraka na mamlaka. Na hiyo ndio maana halisi ya kusema anaongoza IDARA. Kwa kawaida Idara inamajukumu yenye ukomo; yaani inaweza kua na suala ambalo haliwahusu. Mfano Idara ya Information technology haiwezi kuhusika na suala la Manunuzi kwasababu haihusiki na manunuzi, hata yangekua ya sukari robo.

DAS yeye majukumu yake yapo "open ended" katika mfumo wa tarakimu 1,2,3... na yanaendelea mpaka namba "n". Kimahesabu "n" ni namba isiyona mwisho (infinity) kwakua namba hazina mwisho. Na ndio sababu ya kusema yeye ni mkuu wa usimamizi wa shughuli za SERIKALI kwenye wilaya husika. Ni SERIKALI na sio IDARA kwasababu majukumu yake hayana mipaka ya kiusimamizi; cha muhimu tu iwe ni ndani ya wilaya. Hata jambo lisilokua na Idara DAS atalitaftia namna yoyote ya kulishughulikia/kusimamia kwa kutumia mikono ya Serikali (m.f Jeshi, Polisi, Fire, TISS, mgambo etc)

Tofauti moja kubwa na ya mwisho ni kwamba

DED ni kiongozi wa HALMASHAURI wakati DAS ni kiongozi wa WILAYA. Wilaya moja inaweza kua na Halmashauri 2 lakini Halmashauri 1 haiwezi kuwa kwenye wilaya 2.

Mfano: Nzega, Kondoa ni wilaya zenye halmashauri 2. Halmashauri ya Wilaya ya Nzega na Halmashauri ya Mji wa Nzega na Halshauri ya Kondoa District na Kondoa Town council.

Hapo vipi??
Hapo poa
 
Upo sawa. DAS anauwezo wa kumuagiza DED/MKURUGENZI, Lkn huyu DED ndiye mwenye mafungu na watumishi wooote uwajuao waliopo karibu nawe Ie walimu, wauguzi, ELIMU nk. DED ni kazi ngumu. Hao wooote, RAS, DAS DC & RC na ma Wizara yote ukiacha ya ulinzi na mambo ya ndani kwa uchache huagiza kwa DED ili atekeleze. DED sio mchezo. Huyu DED siku akiwa Mbunge au Katibu Mkuu nk huwa kiongozi mzuri sana kwa kuwa kaishi na watu/watumishi sana, kalaumiwa na kupongezwa sana tu, so anajua uhalisia wa mamb

Nimepata mkanganyiko kujua nani bosi wa mwenzake kati ya DAS na. DED naomba kuelemishwa mwenye kujua.
Katika ngazi ya wilaya,wilaya Moja inaweza kuwa na Halmashauri Moja au mbili au zaidi,DAS Yuko chini ya DC,DC Yuko chini ya RC,RCYuko chini ya Waziri TAMISEM,KATIBU Mkuu TAMISEM,PM na RAIS.DED kama ilivyo kwa DAS Yuko chini ya DC,DED anaripoti kwa Halmashauri kisha kwa RAS,DAS anaripoti kwa RAS hawajibiji kwa Halmashauri,chini ya DAS Kuna KATIBU tarafa kisha Mtendaji wa Kata,vijiji,Mitaa,Vitongoji.Chini ya DED hana Tarafa ana Kata,vijiji,Mitaa, Vitongoji.DAS na DED ni wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ambayo M/kiti wake ni DC.Ukiangalia DED na DAS hakuna anayewajibika kuripoti kwa mwingine,ila personalty inaweza kumfanya mmoja kati yao aonekane kama boss
 
DED ndie anaekabidhiwa pesa.
DED ndie ana monitor matumizi yote ya pesa na miradi
 
Back
Top Bottom