Kati ya Feisal, Chama na Aziz Ki nani zaidi?

Kati ya Feisal, Chama na Aziz Ki nani zaidi?

Acha kumfananisha chama jr na vitu vya kijinga embu kuwa serious kidogo
 
Chama ni noma sana ,umekosea kumuweka Fei hapo.
 
Mnamkosea adabu aziz ki.
Msije mkarudia kumlinganisha na kiungo yoyote hapa bango.
 
Back
Top Bottom