Kati ya Gari ya Diesel na Petrol, ni ipi inatumia Mafuta sana?

Kati ya Gari ya Diesel na Petrol, ni ipi inatumia Mafuta sana?

Wacha stori za mtaan mambo mengine tumia akili ya kuzaliwa...result ya mafuta kuchomwa ni moshi ule sasa unataka peleka moshi kwenye tank??

Habar hyo acha kubisha usichokijua
 
Mm nina Nissan Pickup engine model TD25 ya 1988 imenunuliwa 1992 imepaki mwaka 1996 ina mileage 153000 ila nmetafuta mafundi wakafanya overhall ikawaka na sasa natumia kwa shughuli zangu za kilimo....fuel consumption ni 20km per litre kwa utafiti nliofanya wiki hii...kwa uelewa wangu gari za diesel ni ghali kununua, spare ni ghali, ila durability ya engine ni kubwa sana afu pia zina nguvu sana maan mm sikuamini kama gari imekaa miaka 23 bila kuendeshwa iLa sahv inatembea vzuri sana bila tatizo.
Bado naendelea kufanya research kujua tofauti ya disesel.n petrol engines hasa kwenye bei, repairs, consumption ya fuel and durability

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi roho za paka mno.
Nna Nissan Datsun pickup ya engine ya TD27 Diesel model ya 1991.Nilinunuaga bei ya mbuzi kwa mwarabu mmoja wa mombasa mil 4 tu mwaka 2008 na alikua nazo mbili anauza zote zilikua double cabin.
Nikaikata yangu ikawa single cabin.

Kuna bro wangu nkamwambia achukue akasuasua sasa alivyo boya eti akaenda kununua kirikuu!mpaka leo anajuta kuiacha ile gari.
Napita nayo popote,4wd ya low ratio na high range,napanda nacho milima kukiwa na tope na mzigo wa maana nyuma.
Wese ndo siwazi kabisa 18km/L

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom