Labda ni Mimi sijaelewa, ila trekta, kwenye tank lake la mafuta kuna pipe mbili: moja juu kabisa ya tank ambayo ni return pipe, na moja ipo chini kabisa ambayo inapeleka mafuta kwenye injini.
Na niliaambiwa yakichomwa yanarudi
Wacha stori za mtaan mambo mengine tumia akili ya kuzaliwa...result ya mafuta kuchomwa ni moshi ule sasa unataka peleka moshi kwenye tank??