Kati ya Gari ya Diesel na Petrol, ni ipi inatumia Mafuta sana?

Wacha stori za mtaan mambo mengine tumia akili ya kuzaliwa...result ya mafuta kuchomwa ni moshi ule sasa unataka peleka moshi kwenye tank??

Habar hyo acha kubisha usichokijua
 
Hizi roho za paka mno.
Nna Nissan Datsun pickup ya engine ya TD27 Diesel model ya 1991.Nilinunuaga bei ya mbuzi kwa mwarabu mmoja wa mombasa mil 4 tu mwaka 2008 na alikua nazo mbili anauza zote zilikua double cabin.
Nikaikata yangu ikawa single cabin.

Kuna bro wangu nkamwambia achukue akasuasua sasa alivyo boya eti akaenda kununua kirikuu!mpaka leo anajuta kuiacha ile gari.
Napita nayo popote,4wd ya low ratio na high range,napanda nacho milima kukiwa na tope na mzigo wa maana nyuma.
Wese ndo siwazi kabisa 18km/L

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…