Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym

Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu
images%20(15)%20(1).jpg
images%20(15)%20(2).jpg
 
Umeajibana weeeeeeee sasa umeamua kujionesha wazi wazi.

Watu kama nyie inatakiwa kumsaidia Mungu kuwakutanisha nae. Ni kweli hukumu anatoa Mungu ila ni jukumu letu kuwakutanisha na Mungu alafu yeye atatoa hukumu au ataamua kukusamehe
 
Kuna uzi umefunguliwa na ID hii unahusu wanaume kuwa wasafi, sasa kuna member m1 kachangia kua "huenda mkeo ndo anayeitumia hii akaunti ya MPWAYUNGU VILLAGE kwasasa"... Aisee,hata me naona kabisa kauli hii ina mashiko..
 
Back
Top Bottom