Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Ila mna hakika hii ni account ya mpwayu🤣🤣🤣🤣


NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
Hata kama I kutafuta attention,duh mkuu this is too much
Screenshot_20230908-194509.png
Screenshot_20230908-141619.png
 
Ila mna hakika hii ni account ya mpwayu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeajibana weeeeeeee sasa umeamua kujionesha wazi wazi.

Watu kama nyie inatakiwa kumsaidia Mungu kuwakutanisha nae. Ni kweli hukumu anatoa Mungu ila ni jukumu letu kuwakutanisha na Mungu alafu yeye atatoa hukumu au ataamua kukusamehe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna mnashindwa, wanashinda case huko mahakamani kila siku.

Uache kuteseka na mambo yako, unahangaika na ya mwenzio, inahuuu??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka had mbavu zinaumaa, sio kwa hizi Comments.

Wameambiwa wanawake wajibu, cha ajabu wanao comment ni wanaumee.

Woiiiiiiih
 
Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym

Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Wew Jamaa sio bure haujatimia sawasawa Una mapungufu,

Hv unajiskiaje kusifia na kujadili vifua vya wanaume wenzio ht km Una tumia ID fake jamii forum isiwe sabab
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka had mbavu zinaumaa, sio kwa hizi Comments.

Wameambiwa wanawake wajibu, cha ajabu wanao comment ni wanaumee.

Woiiiiiiih
Tupo kwenye mlima mrefu kuuvuka upumbavu dear, yani mijitu migumu sana kuelewa
 
Back
Top Bottom