Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Laana ya waalimu imekutandika vibaya ulipoangukia utakua hucheki wala kuruka mtaro.
Ukithubutu tu kufanya hivyo vitu vya kucheka ama kuruka mtaro yanatoka kama umekula mayai ya samaki..
 
Hawa wote wana body za mazoezi wote wanaenda gym

Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili na mimi niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajiri yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Mkuu hivi wewe ni shoga?, Mbona kama nyuzi zako huwa sikuelewi, unaanzaje kutamani kifua cha mwanaume mwenzako. Aaakhrrrr unakera bana
 
Mkuu hivi wewe ni shoga?, Mbona kama nyuzi zako huwa sikuelewi, unaanzaje kutamani kifua cha mwanaume mwenzako. Aaakhrrrr unakera bana
Wapi nimetamani kaka umesoma uzi wote au umekuja mazima kunipa majungu
 
Back
Top Bottom