Kati ya Harmonize, Alikiba na Diamond yupi mwenye kifua kizuri

Umeajibana weeeeeeee sasa umeamua kujionesha wazi wazi.

Watu kama nyie inatakiwa kumsaidia Mungu kuwakutanisha nae. Ni kweli hukumu anatoa Mungu ila ni jukumu letu kuwakutanisha na Mungu alafu yeye atatoa hukumu au ataamua kukusamehe
 
Kuna uzi umefunguliwa na ID hii unahusu wanaume kuwa wasafi, sasa kuna member m1 kachangia kua "huenda mkeo ndo anayeitumia hii akaunti ya MPWAYUNGU VILLAGE kwasasa"... Aisee,hata me naona kabisa kauli hii ina mashiko..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…