Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Ngoja tuwasubiri walengwa (wadada)Acha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
😄😀😅😄😀😁😃😅😅Ila mna hakika hii ni account ya mpwayu🤣🤣🤣🤣
NB: Aacha kumfananisha Kiba na vitu vya ajabu!!!
Kivumbi Na JashoChuma kimelia😁
Mwamba kashaanza upapaiKivumbi Na Jasho
Hakuna mwanaume rijali atathubutu kujibu hili swaliHawa wote wana body za mazoea wote wanaenda Jim
Ebu tusubiri wadada waje watuambie yupi wanapenda kifua chake ili namm niende mazoezini nijue niendelee kupendwa na pisi Kali tuendelee kuwatafuna maana wadada ni maua wapo kwaajir yetu View attachment 2743093View attachment 2743095
Ndomana nikasema tuwaachie wanawake sisi wanaume tuwe watazamaji tuHakuna mwanaume rijali atathubutu kujibu hili swali
Una maana ipiUmeajibana weeeeeeee sasa umeamua kujionesha wazi wazi.
Watu kama nyie inatakiwa kumsaidia Mungu kuwakutanisha nae. Ni kweli hukumu anatoa Mungu ila ni jukumu letu kuwakutanisha na Mungu alafu yeye atatoa hukumu au ataamua kukusamehe
Jina lako tu linasadifu, pepo tokaaaNaona LGBTQ imepata new member uzi wa pili huu wa jamaa unadhihirisha