MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Lusajo (Namungo FC ) mwenye Goli 10 ila hana Mbwembwe na Kwake ni Kawaida na Mayele mwenye Goli 7 tu ila Mbwembwe Tanzania nzima?
Nasubiri Majibu yenu huku nikijiandaa kuendelea kuiletea Heshima zaidi Tanzania hasa kwa Mambo makubwa na ya Kimataifa baada ya kutoka Niger juzi nikalala Ulaya Turkey na leo nakunywa zangu Chai Casablanca Morocco huku wengine ndiyo wakiyamaliza Majaruba ya Mpunga na Mashamba ya Sukari Turiani Mkoani Morogoro ili waanze Kuitafuta Msamvu na waiwahi Mvua ambayo tayari imeanza Kutishia uwepo wa Mafuriko Klabuni Kwao ambayo imaweza ikaondoka na Boksa zilizochakaa za Kocha Nabi, Winga Ntibazonkiza na Fowadi Mayele bila kusahau Mabegi yao yaliyojaa Vyura tupu tu.
Nasubiri Majibu yenu huku nikijiandaa kuendelea kuiletea Heshima zaidi Tanzania hasa kwa Mambo makubwa na ya Kimataifa baada ya kutoka Niger juzi nikalala Ulaya Turkey na leo nakunywa zangu Chai Casablanca Morocco huku wengine ndiyo wakiyamaliza Majaruba ya Mpunga na Mashamba ya Sukari Turiani Mkoani Morogoro ili waanze Kuitafuta Msamvu na waiwahi Mvua ambayo tayari imeanza Kutishia uwepo wa Mafuriko Klabuni Kwao ambayo imaweza ikaondoka na Boksa zilizochakaa za Kocha Nabi, Winga Ntibazonkiza na Fowadi Mayele bila kusahau Mabegi yao yaliyojaa Vyura tupu tu.