Kati ya hawa Wema Sepetu na Aunt Ezekiel nani mwenye mvuto katika bongo movie?

wote hao ni wauza nonino tu hakuna msanii, wema ana kisauti utafikiri anaumwa tonsils anaogopa akifungua mdomo hewa ikiingia maumivu yatakuja huyo mwingine ndio kabisa swaga za ku act zero... labda kama unataka kuwalinganisha uzuri fine,,, wema sepetu yuko juu
 

eng'ana neno ake!
 
Bongo movie zote Ni boring, nimezikuta Youtube nikaona ngoja nicheki kazi za nyumbani, mh, dakika nne hazijafika nikahama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…