Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Kati ya hii miamba sita (6) nani ana maslahi mazuri kuliko wengine?

Aisee mbona mmeng'ang'ania hao makuruta na maprivate tu kwani Jeshi linacomprise hao tu mzee
Hapa tunalinganisha graduate anaeanza kazi anaanza na ngapi?
Ukilinganisha maafsa hata huku kwenye hizo taasisi kuna wakuu wa idara na vitengo tuwalinganishe wenyewe kwa wenyewe. By the way sijawahi kusikia rais akilalamikia salary za jwtz kuwa ni kubwa ila TMA na TRA ameshawahi kuzigusia
 
Hivi kuna taasisi ya serikali inayoajiri walinzi au wafanya usafi kwa miaka hii sio kwamba wana outsource
Zipo. Kuna Taasisi Baadhi ya Mali zao zinalindwa na Walinzi walioajiriwa na Taasisi..

Mfano Mamlaka za Maji. Kwenye Water Plants zao nyingi Walinzi wanaolinda ni walioajiriwa na Taasisi na siyo Suma JKT n.k.
 
Hapa tunalinganisha graduate anaeanza kazi anaanza na ngapi?
Ukilinganisha maafsa hata huku kwenye hizo taasisi kuna wakuu wa idara na vitengo tuwalinganishe wenyewe kwa wenyewe. By the way sijawahi kusikia rais akilalamikia salary za jwtz kuwa ni kubwa ila TMA na TRA ameshawahi kuzigusia
Jeshi haliwezi kulalamikiwa hata lifanye nini sababu jeshi ndiyo nchi mkuu! Kuna mambo mengi tu ambayo jeshi linafanya na hautasikia likilalamikiwa popote lakini hayo hayo mambo yakifanywa na taasisi nyingine zitalalamikiwa!

Uzuri ni kwamba jeshi huwa halidisclose kila kitu kuhusiana na majukumu yao au malipo yao! So inawezakana unachoambiwa ni robo tu ya uhalisia uliopo au inawezekana ikawa uongo kabisa maana hapa kila mtu huongea lake!
 
Naona wengi humu mnaidharau jwtz,kuna jamaa yangu ni sgt anakunja 2.8m mshahara kila mwezi,kule kuna allowance ya chakula,maji,umeme,nyumba,fani anayofanyia kazi,na kama ni graduate nayo ina allowance yake.
 
Jeshi haliwezi kulalamikiwa hata lifanye nini sababu jeshi ndiyo nchi mkuu! Kuna mambo mengi tu ambayo jeshi linafanya na hautasikia likilalamikiwa popote lakini hayo hayo mambo yakifanywa na taasisi nyingine zitalalamikiwa!

Uzuri ni kwamba jeshi huwa halidisclose kila kitu kuhusiana na majukumu yao au malipo yao! So inawezakana unachoambiwa ni robo tu ya uhalisia uliopo au inawezekana ikawa uongo kabisa maana hapa kila mtu huongea lake!
Hivi mkuu unafikiri askari wanaishi mbinguni?
Tunao huku mtaani kaka zetu, baba zetu, classmate wengine hata mademu zetu ni askari. Hakuna siri kwenye maslahi yao.
Labda siri kwenye dili nyingine za 10% kwenye manunuzi ya silaha na vifaa
 
Hivi mkuu unafikiri askari wanaishi mbinguni?
Tunao huku mtaani kaka zetu, baba zetu, classmate wengine hata mademu zetu ni askari. Hakuna siri kwenye maslahi yao.
Labda siri kwenye dili nyingine za 10% kwenye manunuzi ya silaha na vifaa
Aiseee kwamba mtu akiwa ndugu yako au nani yako ndiyo lazima akutajie mshahara wake wote kwa asilimia zote? Binafsi hata mimi naishi na hao watu lakini trust me hawawezi kukuambia wanalipwaje exactly huwa wanapunguza!

Wafanyakazi wa kawaida tu wengi wao huwa hawatajagi mishahara yao kwa asilimia zote sembuse hao wa jeshi? Mkuu haya mambo ya mishahara yangekuwaga wazi basi kila mtu asingekuwa anaongea lake kuhusu jeshi!
 
Hoja yao ni kuwa hao wanaingiza pesa serikalini wakati madaktari na walimu wanatumia pesa zilizotengenezwa na wengine
Hii nazani ni kwa Tz pekee, siasa inaharibu sana uhalisia. Mi hata wabunge kulipwa mil 12 sikubaliani nalo japo sina nguvu ya kubadilisha.
 
Watu wataichukulia hii kauli yako kiutani ila watumishi waajiriwa wa CWT wako vizuri mno kila kitu wanajipangia makusanyo ya CWT kwa mwezi ni makubwa mno. Kwanza madaraja wanajipandisha kila baada ya miaka miwili na hakuna longolongo.
Watu hawajui tu,kule CWT ni hatari kwa waajiriwa. Kwa mwezi wanakusanya Bilion tatu na ushee. Mshaara wa mfanyakazi wa chini ambaye ni secretary mwalimu wa anayeanza na degree haoni ndani na bado analipwa hadi pesa za pango na chai.
 
Naona wengi humu mnaidharau jwtz,kuna jamaa yangu ni sgt anakunja 2.8m mshahara kila mwezi,kule kuna allowance ya chakula,maji,umeme,nyumba,fani anayofanyia kazi,na kama ni graduate nayo ina allowance yake.
Huyo yupo muda mrefu kazini. Mishaara yao huwa ni wiki moja tu ishakata. Kidgo kwenye utawala huu wameboreshewa hasa walipoanza kuwekewa na vinywaji.
 
Sema yote lakini wanao piga pesa nyingi ni wanao fanya kazi ofisi ya Rais

Mpiga picha tuu, kwa mwezi anatoka na net above 10M.

Bado mzee akienda chato kwa miezi 2, [emoji1]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kati ya hawa washua sita nani ana maslahi mazuri kuliko wengine kwenye mshahara, posho, overtime na mazingira bora ya kazi.
1. BOT
Bank of Tanzania.

2. TPDC
Tanzania Petroleum Development Corporation.

3. TCRA
Tanzania Communication Regulatory Authority.

4. TPA
Tanzania Port Authority.

5. TRA
Tanzania Revenue Authority.

6. TANAPA
Tanzania National Park

Kama unajua tushirikishe kama hujui basi soma comment za wengine. Uzi huu utasaidia vijana walioko masomoni.
hao wengine wote ni wakurugenzi wa mashirika tu mshahara wao hauzidi milioni 15 kiboko ni mzee wa BOT tu anakunja 40 milioni na marupulupu ya kila aina kifupi anaishi peponi akiwa duniani
 
Back
Top Bottom