Kati ya hii miji, upi ni mzuri kwa mtoko?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wakuu mambo vipi?

Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.

Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.

Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
 
😂😂😂😂Kwani Yesu ashafufuka.
 
Tafuta na matako makubwa beneath
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…