Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Asante sana kwa ushauriDodoma utaenda kushindanisha mke wako na Vyamgudoa maana ni msimu wao kuweka kambi. Nenda Mwz utapata samaki anayepumua, utakaa beach n.k
😂😂😂😂Kwani Yesu ashafufuka.Wakuu mambo vipi?
Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.
Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.
Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
Kahama vurugu nyingi bora MZAnenda Kahama
Sawa mkuu; kuna ushawishi gani huko?nenda Kahama
Kesho asubuhi na mapema😂😂😂😂Kwani Yesu ashafufuka.
Tafuta na matako makubwa beneathWakuu mambo vipi?
Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.
Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.
Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
ha ha ha, wembamba vipi?Tafuta na matako makubwa beneath
Aah SawaKesho asubuhi na mapema
Karibu tufufuke na bwanaAah Sawa
Kuna lodge na bar nzuriSawa mkuu; kuna ushawishi gani huko?
Wembamba hawana ile pwa pwa pwa. Wana shwa shwa shwa hio hatuitakiha ha ha, wembamba vipi?
Lodge gani nzuri yenye huduma zote, ambayo iko nje ya mji?Kuna lodge na bar nzuri
Asante sana shemejiKaribu tufufuke na bwana
Wengine ndio miili yao, hawawezi kujibadilishaWembamba hawana ile pwa pwa pwa. Wana shwa shwa shwa hio hatuitaki