Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Mwanza imepitaNenda Mwanza, utaenjoy beach, mandhari nzuri ya mji....Kahama mbanano tu kamji kadogo....hamna view ya maji.
Dodoma sijawahi kupaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanza imepitaNenda Mwanza, utaenjoy beach, mandhari nzuri ya mji....Kahama mbanano tu kamji kadogo....hamna view ya maji.
Dodoma sijawahi kupaelewa.
The Rock City 🏙️🌆 mwanza nyumbani..🤓Wakuu mambo vipi?
Kutokana na leo kujihisi kuchoka choka, inabidi nijaribu kutafuta kiwanja kizuri angalau siku ya kesho nami niweze kufufuka na bwana.
Nauliza kati ya hii miji; Dodoma, Mwanza au Kahama; wapi ni kuzuri kwa mapumziko ya siku mbili.
Nataka nimpeleke huyu bi mdogo, angalau aoshe oshe macho kidogo.
Niwe nahesabu niniNtakutafutia kazi ya kua mhasibu wa kanisa au hutaki?
Nitafika huko mkuuThe Rock City 🏙️🌆 mwanza nyumbani..🤓
Inabidi kwenda kula sangara na satoNendeni Mwanza bablai.
Mtaenjoy sana mkuu, hongereni kwa uamuzi wenu na shemeji yetu.Inabidi kwenda kula sangara na sato
Bado kidogo tuwe wavumilivu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Yesu ashafufuka.
Mimi nikitaka tu kucheka naangalia hii avatar ya kijana wangu santos06Wembamba hawana ile pwa pwa pwa. Wana shwa shwa shwa hio hatuitaki
Asante sana mkuuMtaenjoy sana mkuu, hongereni kwa uamuzi wenu na shemeji yetu.
Kwanini DrMimi nikitaka tu kucheka naangalia hii avatar ya kijana wangu santos06
Anajua kamuweka nani hapo kwa avatar. Kiufupi kamuweka ntu nbad.Kwanini Dr
Dodoma utaenda kushindanisha mke wako na Vyamgudoa maana ni msimu wao kuweka kambi. Nenda Mwz utapata samaki anayepumua, utakaa beach n.k
Ngoja tuvumilie vumilie.Bado kidogo tuwe wavumilivu [emoji23]
Mapato na matumizi ya kanisa na password ya account ya bank ya kanisa utakua unajua.Niwe nahesabu nini
Dr Rutagwerera Sr 🤣🤣🤣Mimi nikitaka tu kucheka naangalia hii avatar ya kijana wangu santos06