Ishobezay
Senior Member
- Dec 11, 2016
- 120
- 153
Planet,submarine, gaprena nkLodge gani nzuri yenye huduma zote, ambayo iko nje ya mji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Planet,submarine, gaprena nkLodge gani nzuri yenye huduma zote, ambayo iko nje ya mji?
Moro ilikuwa zamani kabla ya kuamia Dodoma, sasa hivi panapwaya sanaUsiende Dodoma. Kama unatokea Dar kwann usiende tu Moro au Tanga (mjini au Lushoto)
Acha fujo wewe; ebu pata konyagi kwa gharama ya mfuko wako 😀😀😀Asante sana shemeji
Nmeokoka nampenda Yesu.Acha fujo wewe; ebu pata konyagi kwa gharama ya mfuko wako 😀😀😀
Nitazitazama mtandaoniPlanet,submarine, gaprena nk
Wao wasifunge waendelee na biashara zao tu mana me siwez shawishikaKwa hiyo unashauri viwanda vifungwe 😀😀?
Mwanza kuna uzuri wake pia; panaitwaje hapa?Dodoma sio sehemu ya kwenda kula bata bora mwzView attachment 2580952
Piga kinywaji kwa kudumisha uzalendo, kwa kulinda ajira za wengineWao wasifunge waendelee na biashara zao tu mana me siwez shawishika
Kwa Mwanza, ni sehemu gani panavutia zaidi?Duuh!.
Sehemu ya mapumziko ni moja tu katika list yako. Mwanza.
Mhhh yani ninywe kwa sabb tu ww unafanya kazi kweny kiwanda Cha shimha.😂😂😂Piga kinywaji kwa kudumisha uzalendo, kwa kulinda ajira za wengine
Inawezekana alikutana na pisi kali huko🎼Mwanza ooh mwanzaaa...
🎵 Mwanza nitarudi tenaa...
🎵 Mwanza mji mzurii ooh...
-----------------------
➿Orchestral Matimila voice.
Hutaki niendelee kupata mshahara?Mhhh yani ninywe kwa sabb tu ww unafanya kazi kweny kiwanda Cha shimha.😂😂😂
tilapia hotel ila sikushauri uende hapo pamepoaMwanza kuna uzuri wake pia; panaitwaje hapa?
Asante sana, ngoja niicheki mtandaonitilapia hotel ila sikushauri uende hapo pamepoa
kama ukienda mwanza pembeni na hapo kuna sehemu ya kulia bata panaitwa Bonasera pako poa sana
Ntakutafutia kazi ya kua mhasibu wa kanisa au hutaki?Hutaki niendelee kupata mshahara?