Kati ya hizi Nyimbo za Diamond alizowaimbia Zari na Wema, zipi zilikuwa Kali, je ndo alipendwa zaidi

Kati ya hizi Nyimbo za Diamond alizowaimbia Zari na Wema, zipi zilikuwa Kali, je ndo alipendwa zaidi

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Katika maisha ya mapenzi ya Diamond amekuwa akiimba nyimbo kali na za hisia hasa anapokuwa katika mahusiano. Kati ya wapenzi wake wawili tu ndo wameimbiwa nyimbo nyingi, yaani wema na zari.

Sasa kwa kucheki ni collection ipi Ina nyimbo kali tunaweza jua nani alikuwa anapendwa zaidi akatungiwa nyimbo kali za hisia na zilizohit, hizi hapa.

1.Zari Diamond songs
A. Utanipenda
B. Sikomi
C.Niache
D. The One
E. Baila

2. Wema Diamond Song
A. Nalia na Mengi
B. Ukimwona
C. Nataka Kulewa
D. Mapenzi Basi
E. Lala Salama

Collection ipi Ina mawe hatari, na je, unahisi nani alitungiwa nyimbo kali, je ndo alipendwa zaidi.

Tanasha sijui ndo ametungiwa kanyaga, makonda nikae kimya
 
Mimi naipenda Inama ya fally i pupa
Hiyo niache nadhani alimwimbia hamiasa mobetto.
I stand to be corrected.
 
Zangu ninazozikubali za muda wote za diamond.

Za zamani kabla hajaenda kimataifa.
1.Lala salama
2.Pete
3.Nalia na mengi
4.Ukimuona
5.Nataka kulewa
6.Nitarejea

Baada ya kuvuka boda
1.Afrika beauty
2.Inama
3.Hallellujah
4.Number one remix
5.fire

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nyimbo zake napenda tatu nazo ni
1. Nenda kamwambie
2. Utanipenda
3. Legrema
 
Back
Top Bottom