Hapo cos alikuwa bado ajafika international alikuwa anafanya localDiamond chini ya wema alikuwa mtu mbaya sanaa kwenye kuandika.....
1. Ukimuona
2. Nataka kesho
3. Nitarejea
4. Nataka kulewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo cos alikuwa bado ajafika international alikuwa anafanya localDiamond chini ya wema alikuwa mtu mbaya sanaa kwenye kuandika.....
1. Ukimuona
2. Nataka kesho
3. Nitarejea
4. Nataka kulewa
Hakuna wimbo wake ambao utakuja fikia ukimwona Manecky ile beat aliitendea haki halafu kutoumalizia ukavujishwa ukiwa na hanging chorus it was a blessing in disguise maana ulipendeza sana."UKIMWONA" ni bonge moja la pini, hasa beti la pili msengerema anajua yule
Wema sepetu.Number One ulikuwa wa nani
Hizo habari umezitoa wapi?Huyu jamaa kuna habari zina sema ameanza kula poda.[emoji848][emoji848]
Ni nje ya mada .
Hizo habari umezitoa wapi?
Zilikufikia kutoka kwa Nani?Sijazitoa. Zilinifikia.
Hao ni wale "Da Mange Kasema".Zilikufikia kutoka kwa Nani?
Mimi naipenda Inama ya fally i pupa
Hiyo niache nadhani alimwimbia hamiasa mobetto.
I stand to be corrected.
Eneka aliimbiwa Hamisa mobeto1. Zari, Baila
2wema; ukimwona na lala salama
Eneka alimwimbia nani?
Za weka zilikuwa natural