THE BEST OF DIAMOND PLATNUMZ
1. I MISS YOU ndo the best song kwangu, ikifuatiwa na
2. UKIMUONA
Ila kati ya nyimbo ambazo Mond alikaa akatulia kwenye kutunga ni
3. BINADAMU WABAYA...
Huyu jamaa ni konyo. Huu wimbo naweza sema ni "Living Ghost", na natamani huu wimbo autolee version mpya na ya kisasa kwa beat la p-funk
4. NALIA NA MENGI akiwa na chid benzino, hii ni hatari nyingine katika masikio ya wengi
Nimalizie na
5. MDOGOMDOGO
Kwenye kuvuka boda, (nikimaanisha kolabo na wasanii nje ya bongo) hizi ndo hits nazozikubali;
1. INAMA dance na meseji yake n moto wa kuotea mbali
2. AFRICAN BEAUTY; huu ulistahili tuzo ya grammy
3. WAKA WAKA; ngeli iliyocharazwa humo ikanfanya nsahau kabisa kama Mond anatokea tandale
4. HALELUJAH; Reggae moja matata sana na iliwafanya wajamaika kuipandisha chat mpaka karibia 10 bora kati ya 100
5. NANA/SOUND
Huyu kijana ni noma, kilichobaki sasa ndo hiki cha kushindanisha nyimbo zake, maana sioni wa kushindana naye kibongobongo