samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
hilo ni pori kutoka ubena zomozi kuitafuta bwawani kama sikoseiHalafu road ilikuwa hivi,kama unapajua nipe location
View attachment 770721
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hilo ni pori kutoka ubena zomozi kuitafuta bwawani kama sikoseiHalafu road ilikuwa hivi,kama unapajua nipe location
View attachment 770721
Hahah umepatia mkuu kula like kwanza!hilo ni pori kutoka ubena zomozi kuitafuta bwawani kama sikosei
Naona umemaliza speed mkuu,
Hatari sikushauri ujaribu labda kama una test tu,ila mwendo mzuri wa haraka mwisho wangu ni 120kph nikiwa na gari nzuri,ila kama sio zuri mwisho ni 90-100kph.Naona umemaliza speed mkuu,
Umenikumbusha mbali asee...
hahaha nishatembea barabara za lami tz nzima mkuu maeneo mengi nayajua.......kale ka namba mtoto kachomoa [emoji23] [emoji23]Hahah umepatia mkuu kula like kwanza!
Out of topic;kale kanamba mbna hujanipa mzeebaba
ila katika gari za chini zinazotembea mkuu katika mishe mishe zangu road crown athlete hatari kuna siku nimemuomba jamaa ku overtake niko na 140km/hr kagoma nilishangaa sana[emoji2] [emoji2] [emoji2]Gari zote za chini ni gari za hovyo likija swala la barabara za vumbi.
Heee huu mshale ulivyolala past 180 dahh
Ndio uzuri wa natural aspirated engine....BMW lazma iguse redUMETISHA MKUU, UMEFUTA KIBATI, EVOLUTION YA ENGINE BADO 5, HAINA HATA MAWAZO YA KWENDA KULALA KWENYE RED. WESE NDIO KWANZAAA LINATOKOTA.....CROWN NI AMAZING
Haaaah miss temptation huyo sio mmwala bi mkubwa wangu ni picha tu lady in redHeee huu mshale ulivyolala past 180 dahh
kuna kaka mmoja nae analazaga mshale hivo afu mama ake ndo anapiga picha sa sijui ndo wewe😅
Hiv oppa yako inakula wese km ngp kw litre kaka, sorry im out of topicCrown ni kali zaidi ya Mark X. Interms of stability and comfortability
9km/l urban, highway ni 12-14km/lHiv oppa yako inakula wese km ngp kw litre kaka, sorry im out of topic
Iko vzr kk9km/l urban, highway ni 12-14km/l
Nashukuru inanisitiri mkuuIko vzr kk
Mkuu, kwa hakika wewe una ugomvi binafsi na magari ya wazungu.Ndio uzuri wa natural aspirated engine....BMW lazma iguse red
Mkuu, kwa hakika wewe una ugomvi binafsi na magari ya wazungu.
Kwa asilimia 90 nimeona una mtazamo hasi kuhusu magari ya wazungu.