dah mbavu kwisha, unawezaje ilinganisha banana, stakishari, ukonga, mombasa, ilala, tabata, kinyerezi kwa nyamagana hyo yaani mkolani, buguku,nyashishi, buhongwa, luchelele, ngaza busisi, nyegezi, malimbe n.k?
Ilala imemega eneo la k/koo uwe na akili siku ingine ni ka vile kinondoni na TMK pia zimemega sehemu ya k/koo nazungumzia mapato pia
Tuna uwanja wa ndege wa kimataifa pale Kipawa, tuna fly over zaidi tuna machinjio vingunguti, mnada pale ilala boma kila siku, karume viatu mtumba ushindwe wewe tu kha we huogopi!!?
Huduma za kijamii ni burudani japo changamoto wana daresalama ni wengi mno.
Ilala oyee ukonga juu!! Yaani tuna magereza pale watu wananyea ndoo sio poa, kwa zumaridi mkolani wanakata mauno kwenye nyumba na viwanja vyake
Bila kusahau ofisi za SIDO, tuna bakhresa pale Tazara, na zaidi linapokuja suala la bale za mitumba nyingi ni ilala na m/mmoja machimbo ka yote pesa ako tu kupata ridhiki la kila siku