Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Soko kubwa Afrika Mashariki na kati lipo Ilala.
. Nyamagana kuna nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soko kubwa Afrika Mashariki na kati lipo Ilala.
. Nyamagana kuna nini?
Kariakoo ni soko au takataka watu wanapanga bidhaa hadi barabarani maujinga gani hayo.me kariakoo siendagi maana watu kama sisimizi full kubanana na kupeana majasho tu.kiufupi ilemela iko poa kuliko ilala ya makobaziIla wasukuma 🤣🤣🤣Ilala Kuna soko la kariakoo na airport
Nyamagana Kuna nini
Tunaongelea mapato boss wanguKariakoo ni soko au takataka watu wanapanga bidhaa hadi barabarani maujinga gani hayo.me kariakoo siendagi maana watu kama sisimizi full kubanana na kupeana majasho tu.kiufupi ilemela iko poa kuliko ilala ya makobazi
Mapato gani hapo kariakoo au takataka.soko la masikini hiloTunaongelea mapato boss wangu
Hayo mengine tuachie
Kwahiyo kariakoo haichangii mapato mzee wangu?Mapato gani hapo kariakoo au takataka.soko la masikini hilo
Nyamagana n kijiji kikubwa
😂😂😂 HawajuiIlala ni Posta na Kariakoo.. hajui mkoloni mwenyewe wakati anakuja alishukia ilala
wasukuma wa hovyo niseme hivyo....Huu utoto, sasa Mwanza ipi ifanane na Dar?
Hiiiiiiiiiiiiiiiii.....!Uli Nsukuma???