Kati ya Ilala dar es salaam na nyamagana mwanza . Wilaya ipi imeendelea?

Kati ya Ilala dar es salaam na nyamagana mwanza . Wilaya ipi imeendelea?

Nyamagana Kuna msikiti mkubwa Africa mzima

Hapo dar mna nini kazi kupakuana marinda tu huku mkisalimiana salamaleko kumbe watenda zambi wakubwa
Kuelimisha mtu hakuhitaji kutoa kauli chafu mkuu jitahidi kutumia kauli nzur itakusaidi Kama ndo balehe hzo jaribu kuzikontrol huna haha ya kutoa kauli chafu ili uonekane umeongea point
 
Jaribu kutafuta Pato la mwaka la ilala na Pato la mwaka la mwanza tuanzie hapo kwanza
Mapato yapi ya halmashauri, au tax levy, au uchumi mzima wa ilala vs Nyamagana interms of GDP?
 
Mapato yapi ya halmashauri, au tax levy, au uchumi mzima wa ilala vs Nyamagana interms of GDP?
Mamlaka za halmashauri nne zikiwemo tatu za Mkoa wa Dar es Salaam, zimeibuka kidedea katika wingi wa ukusanyaji mapato kwenye makundi yote ya miji, manispaa na majiji nchini-Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Selemani Jafo amesema wakati akitangaza makusanyo ya halmashauri kwa mwaka wa fedha 2017/18.


(hapo naonhrlea 2017/18 ssa jiulize huu ni mwaka gani na WWE mwaka huo ulikuwa nafasi ya ngap na mwaka huu upo nafasi ya ngap ifanyie kazi home work hyo sawa usufananishe usingizi. Na kifo)
 
kama upo serious kabisa na hili swali lako basi kuna haja ushikwe mkono ukiwa unavuka barabara maana huna hata akili za kuvukia barabara.
 
Habari wadau . Nataka kufaham kati ya wilaya ilala (Jiji) dar es salaam na wilaya ya nyamagana (Jiji) mwanza. Ip imeendelea kimajengo, miundombinu, mapato na huduma za kijamii
Ilala ipo mbele zaidi ya Nyamagana kwa kua ipo karibu na feri na airport so safari zake kwenda Zanzibar na ulaya ni rahisi kuliko Nyamagana iliyo km nyingi huko usukumani
 
Habari wadau . Nataka kufaham kati ya wilaya ilala (Jiji) dar es salaam na wilaya ya nyamagana (Jiji) mwanza. Ip imeendelea kimajengo, miundombinu, mapato na huduma za kijamii
Utakuwa mshamba sana kijana/mzee.
1. Ilala ndio jiji kubwa
2. Ilala ndio posta, kariakoo nk
3. Ilala ndio Dar
4. Dar ndio Tanzania.
Nimemaliza
 
Back
Top Bottom