Usifananishe Nigeria na tz.Nigeria ni Nchi ya hovyo kulinganisha na Tanzania tuu hapa.
Kuna jipya lipi labda? Maana giants wenzie kina South na Egypt au Morocco imeiipita mbali.
Watu wanazuzuka na viwanja vya mipiraIvory cost awana maajabu kuizidi tz.
Ivory Coast Iko mbali ya Tzn siku nyingi sana kuanzia miundombinu Hadi maisha.
Tzn ni Kati ya Nchi 5 Zenye namba kuumbwa ya maskini Afrika Sasa hapo GDP inakusaidia nini?
Ivory Coast Iko mbela ya Tzn Kwa Kila idara,hata Jiji la Abidjan ni kubwa na Lina maendeleo kuliko Dar sio Kwa idadi ya watu Wala miundombinu au majengo marefu.
View: https://youtu.be/OepYPIjyDgQ?si=KFx5r4GOWw2nR-sF
Mkuu acha Comedy bhasi..Tanzania ni habari nyingine.
Japo kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja (per capital income) wametuzidi but
Gdp na ppp yetu ni kubwa kuliko wao.
Nchi za West Africa ni Nigeria tu ndio atatutetemesha
Mkuu 👏👏👏👏👏👏Ivory Coast Iko mbali ya Tzn siku nyingi sana kuanzia miundombinu Hadi maisha.
Tzn ni Kati ya Nchi 5 Zenye namba kuumbwa ya maskini Afrika Sasa hapo GDP inakusaidia nini?
Ivory Coast Iko mbela ya Tzn Kwa Kila idara,hata Jiji la Abidjan ni kubwa na Lina maendeleo kuliko Dar sio Kwa idadi ya watu Wala miundombinu au majengo marefu.
View: https://youtu.be/OepYPIjyDgQ?si=KFx5r4GOWw2nR-sF
Taifa lishaharibika Hili Tangu Jiwe achukue Nchi bora Kikwete na Ancle Benja haki ya Mungu..Mh Mungu tusaidie vijana wanajitoa ufahamu hata mambo ya kweli wanayapindua pindua
🙄🙄🙄🙄🙄Mkuu 👏👏👏👏👏👏
Naomba niseme Kwa leo umenifurahisha sana sikuamini kama Wewe ungeandika hivi
hiyo picha uliyoweka ya kawaida sana, Kwa mtu mwenye taaluma ya picha hapo ameonesha sehemu kidogo sana ya mji kama 10% akawa anarudia rudia; Ina maana huko kwingine hakuko poa. Ukiamua kupiga picha Dar ya kuonesha sehemu kidogo hivyo itaonekana nzuri mara mbili ya hiyo picha....
Daah ngoja ninyamazee tu😃Katafute taarifa kutoka vyanzo sahihi. Ivory Coast iko nyuma sn. Tanzania ni ya 6 Africa kiuchumi. Nchi zilizoidi Tz ni Nigeria, Afrika Kusini, Misri, Ethiopia na Kenya.
Nyumbu hawajui kutafsiri parameters za Uchumi na maana yake ndio maana wanajiongelesha tuu 😁😁Daah ngoja ninyamazee tu😃
Nimekupa za uso huko juu,umebaki unaruka rukaNyumbu hawajui kutafsiri parameters za Uchumi na maana yake ndio maana wanajiongelesha tuu 😁😁
Ivory kosti
Za USO zipi? Nipe hapa nizioneNimekupa za uso huko juu,umebaki unaruka ruka
Ccm mkubwa wewe