BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kuhusu huduma za Mahakama kwa watoto, Wizara imeendelea kuratibu huduma za Ustawi wa Jamii katika Mahakama za Watoto 133 nchini.
Katika kipindi cha Julai 2023 hadi Aprili 2024, mashauri 4,462 yalipokelewa yakijumuisha mashauri 1,034 ya matunzo (maintenance), 952 ya uangalizi wa mtoto (custody), 882 ya kuona watoto (access), 680 watoto waliokinzana na sheria, 13 ya kuasili, 7 ya vinasaba (DNA order), 22 ya uthibitisho wa baba (parentage), na 872 ya huduma za afya ya akili, msaada wa kisaikolojia na kijamii (Mental Health and Psycho-social support - MHPS).
Jumla ya mashauri 3,984 kati ya yote yaliyopokelewa yalisikilizwa na kufungwa, na mashauri 478 yaliyobaki bado yanaendelea kusikilizwa.
Pia Soma:
www.jamiiforums.com
Katika kipindi cha Julai 2023 hadi Aprili 2024, mashauri 4,462 yalipokelewa yakijumuisha mashauri 1,034 ya matunzo (maintenance), 952 ya uangalizi wa mtoto (custody), 882 ya kuona watoto (access), 680 watoto waliokinzana na sheria, 13 ya kuasili, 7 ya vinasaba (DNA order), 22 ya uthibitisho wa baba (parentage), na 872 ya huduma za afya ya akili, msaada wa kisaikolojia na kijamii (Mental Health and Psycho-social support - MHPS).
Jumla ya mashauri 3,984 kati ya yote yaliyopokelewa yalisikilizwa na kufungwa, na mashauri 478 yaliyobaki bado yanaendelea kusikilizwa.
Pia Soma:
Ndani ya mwaka mmoja Watoto 225,003 wanaolelewa Vituoni wameongezeka Tanzania
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imesema hadi kufikia Aprili 2024, kulikuwa na Vituo 3,862 Vilivyosajiliwa kwa Kulelea Watoto 397,935 (Wakiume 175,517 & Wakike 222,418) na Vituo 206 vya Kijamii vyenye Watoto 11,675 Idadi hiyo ni ongezeko la Watoto 225,003 sawa na...