Kati ya Kahama na Katoro ni mji gani unafaa zaidi kwa biashara ya Juice Bar

Kati ya Kahama na Katoro ni mji gani unafaa zaidi kwa biashara ya Juice Bar

self made

New Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
4
Reaction score
6
Wakuu, habari zenu,

Samahan mimi nipo Mwanza nina juice bar naona hapa biashara kidogo imekua ngumu nawaza kuhamia mji mmoja kati ya Katoro au Kahama,

Naombeni ushauri kwa wenyeji wapi panafaa zaidi kwa biashara hyo na urahisi wa kupata eneo na matunda, pia aina ya watu sehemu izo,

ASANTENI
 
Msukuma na juice wapi na wapi,komaa hapo hapo mwanza its either ubadili location huo mtaa uliopo labda hauna biashara ila mwanza still the best au kuwa mbunifu usiuze juice tu,weka maziwa,na bites,niko mwanza,katoro napajua vizuri na kahama napajua ,
 
Msukuma na juice wapi na wapi,komaa hapo hapo mwanza its either ubadili location huo mtaa uliopo labda hauna biashara ila mwanza still the best au kuwa mbunifu usiuze juice tu,weka maziwa,na bites,niko mwanza,katoro napajua vizuri na kahama napajua ,
Great, thanks bro
 
Back
Top Bottom