Kati ya Kelvin de Bruyne na Bruno Fernandez nani bora kwenye soka?

Kumbe tupo pamoja Bruno Fernandez ni jiniii [emoji23][emoji23][emoji23]
 
hasira za nni chomoa ado ado kijana mbona unafoka sana
 

Wewe mpira hujui, wewe na mwenzako wote mmeanza kushabikia mpira juzi . KDB hakununuliwa na pep bali pellegrini au pellegrini ana upara siku hizi? Pia KDB kipindi kile alinunuliwa kwa dau kubwa kabisa mpaka media zikawa zinashangaa.
KDB na bruno hawafanani hata kidogo ni mjinga tu anaweza kumfananisha de bryune na bruno.
 
KDB ni kiungo bora toka akiwa ujerumani wewe utakuwa mpambavu sio mwanamichezo
 
Kwahiyo pep alimsajili KDB toka Chelsea?
 
Angalia Tena ulichokula mkuu.

Hauko sawa , kimeathiri Hadi ubongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…