Kati ya Kelvin de Bruyne na Bruno Fernandez nani bora kwenye soka?

Kati ya Kelvin de Bruyne na Bruno Fernandez nani bora kwenye soka?

IMG_4149.jpg



Mwamba huyu hapa KDB
 
Japo umeanza kufatilia kamdanda juzi ndugu mleta mada..Lakini tunakujuza KDB ametokea Chelsea pale alikua anakaa benchi na aliitwa 'flop' kwa sababu alikua ni 'unga' sana..Baada ya kununuliwa kwa dau dogo kabisa na upara..kocha la boli upara akamnoa mpaka sasa anaonekana ni hatari lakini kaingia tu kwenye mifumo ya upara thus why hakuna team inayomshobokea hata waarabu hawamtaki
KDB alinunuliwa toka wolfsburg akiwa wa moto

Fuatilia, Chelsea ile angepata vip namba mbele ya Frank lampard?
 
Namkubali bruno fernandes

Most chances created kaongoza last season
What does it mean you think?

It means alitengeneza most likely to be an assist ila kutokana na ubovu wa watu wa mbele hawakufunga
Wout weghorst na martial huwezi fananisha na haaland hata kidogo
Bruno anafunga na anatoa assists
 
Bruno ni takataka huwezi mfananisha na fundi KDB utakua umemkosea heshima na umelikosea soka heshima kwa ujumla

KDB akiwa wolfburg kabla kuja City alikua balaa

Halafu ni mchezaji wa mechi kubwa yani amezitandika chelsea, Arsenal, Liverpool, Man united , Madrid , Barca

Halafu ana consistency hajawahi kushuka kiwango tangu miaka na miaka

Ndo umfananishe na hilo takataka la united ambalo halina hata workrate ya ilkay Gundogan
Usimfananishe Bruno na takataka zenu hapo city

Bruno amecheza na wout weghorst sawa

Halafu huyo debruyne kuwa wolfsburg haina maana kwenye huu mjadala
Maana hata bruno wa sporting alikua balaa
 
Usimfananishe Bruno na takataka zenu hapo city

Bruno amecheza na wout weghorst sawa

Halafu huyo debruyne kuwa wolfsburg haina maana kwenye huu mjadala
Maana hata bruno wa sporting alikua balaa
Nyumbu pale mchezaji ni mmoja tuu Casemiro, wengine wote ni takataka wakianza na bruno fernandez
 
Back
Top Bottom