AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
KICHINA AKA MANDARINHabari zenu wakuu
Kati ya hizi lugha tatu
Kiarabu , kingereza na kihispaniola Ni lugha ipi inatumiwa na watu wengi duniani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KICHINA AKA MANDARINHabari zenu wakuu
Kati ya hizi lugha tatu
Kiarabu , kingereza na kihispaniola Ni lugha ipi inatumiwa na watu wengi duniani?
Basi kumbe siyo "muhimu sana" kama hauna mipango hiyo hapo.1. Kuwa tom ba watoto wa kiarabu
2. Kuwa gaidi
Tafuta mataifa matajiri dunian 10 halafu fuatilia wanaongea lugha ganKwanini ni muhimu "sana" kujifunza kiarabu?
Naomba faida mbili.
Lakini bado haujanijibu swali langu.Tafuta mataifa matajiri dunian 10 halafu fuatilia wanaongea lugha gan
Lakini bado haujanijibu swali langu.
Ni kwanini ni "muhimu sana" kujifunza kiarabu? Au hayo mataifa kuongea kiarabu basi ndiyo sababu mojawapo?
Morocco na Tunis, walipotoka waaay back wakaingia kwenye mifumo ya Kifaransa sasa hivi wanahaha kuwafunza watoto wao English.English is the best, Hata waarabu wenyewe sasa hivi wanawafundisha watoto wao Kingereza hivo hakuna ubishi popote pale ukienda na ukaongea kingeŕeza utapata assistantance haraka hata kama hao uliowakuta hawazungumzi ngeli ila katika jamii almost zote hukosi watema YAI
Wacha tumgonge Bibi kizee pia alete takwimu zake cc faiza foxy
Kwa sababu hii ni muhimu "sana".Kwenye mashambulio ya kigaidi, mara nyingi utapewa ‘maandishi ya Kiarabu’ usome... hivyo utaweza kujiokoa.
Sababu ziko nyingi mno.Kwanini ni muhimu "sana" kujifunza kiarabu?
Naomba faida mbili.
Kunasababu nyingine nimezipewa pia.Sababu ziko nyingi mno.
1. Sababu za kiimani
2. Sababu za kitaaluma
Lakini naona Kama kiarabu kinatumika na nchi nyingi Sana karibia mabara yote duniani
Mf. Sehemu kubwa za Asia na africa
Lakini naona Kama kiarabu kinatumika na nchi nyingi Sana karibia mabara yote duniani
Mf. Sehemu kubwa za Asia na africa
Ubest wa lugha unaangaliwa kwa wingi wa uzungumzwaji wa watu au kwa ubora wa lugha ? Ila kama kwa wingi hapo sawa ila kwa ubora wa lugha, aisee hakuna lugha bora hapa duniani na kamili kielimu kuzidi lugha ya KIARABU, kuanzia kihistoria,udhibiti,na fani zake, yaani hakuna.English is the best, Hata waarabu wenyewe sasa hivi wanawafundisha watoto wao Kingereza hivo hakuna ubishi popote pale ukienda na ukaongea kingeŕeza utapata assistantance haraka hata kama hao uliowakuta hawazungumzi ngeli ila katika jamii almost zote hukosi watema YAI
Wacha tumgonge Bibi kizee pia alete takwimu zake cc faiza foxy
Lakini naona Kama kiarabu kinatumika na nchi nyingi Sana karibia mabara yote duniani
Mf. Sehemu kubwa za Asia na africa
Kunasababu nyingine nimezipewa pia.
Hili limepita bila ajizi, nitakufundisha.Mwalimu wangu naomba unifundishe kiarabu. Asante.
Ihihihi in mkulu's voice1. Kuwa tom ba watoto wa kiarabu
2. Kuwa gaidi
FUrsa za kiuchumi kwenye nchi hizoLakini bado haujanijibu swali langu.
Ni kwanini ni "muhimu sana" kujifunza kiarabu? Au hayo mataifa kuongea kiarabu basi ndiyo sababu mojawapo?
nadhani ni kweli, nchi nyingi zinatumia kiarabu natively and officially.
Kiingereza kinatumiwa nchi tano tu, UK, USA, Canada, Australia and New Zealand.
No kichina kimezidiwa mbali na hizi lugha hata kifaransa kipo juu