granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Unakula kitimoto?
Unakula kuku wa kienyeji
Unakula bata?
WEWE NI BINGWA.
Mapishi utachagua wewe.
Unakula kuku wa kienyeji
Unakula bata?
WEWE NI BINGWA.
Mapishi utachagua wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pork, mdudu, mnyama, mbuzi katoliki, kitimoto n.k achana naye ana utamu usioisha hamu. Utakula na siku nyingine hamu utaipata tu.
Utaila ya kuoka, kukaanga, roast, makange 😋 n.k bado mtamu. Kitimoto kidumu 💪na sio chama cha mambuzi.
Mimi lunch nimepata ila nasikia njaa hapa na tiba pekee ni kupata mduduuuuKwa jinsi comments navyoona na uzi unavyotembea, naona wadau bado hawajapata lunch..
Numbisa rudisha ile avatar ya zamaniKuku tamu hata kama mpishi hajui kupika . Ila kitimoto inahitaji wajuzi,ukipikiwa na mpishi mbovu utaichukia sana
Njaa ya kitimoto..Mimi lunch nimepata ila nasikia njaa hapa na tiba pekee ni kupata mduduuuu
Wa lunch tayari mapema washapata . Labda wachakula Cha Mchana ndio bado.Kwa jinsi comments navyoona na uzi unavyotembea, naona wadau bado hawajapata lunch..
Hamu ya mdudu haina cha umepata lunch au dinner huwa ipo muda wote ina kachumba kake special ka hamuKwa jinsi comments navyoona na uzi unavyotembea, naona wadau bado hawajapata lunch..
Rejea kwenye mada mkuuMnalaana nyie
My kaumbwa akaumbika🤣🤣 Na kamkia kadogo akapewa. Nyiee Mai wetu jaman. 🤣🤣 matee yamejaaHamu ya mdudu haina cha umepata lunch au dinner huwa ipo muda wote ina kachumba kake special ka hamu
Ukitaka kufaidi sio upike soup,Dah! Itabidi nije kuchukua kwato nije kupika supu ya makongoro😋
Ili umfaidi weka ndimu nyingi,chumvi na kitunguu swaumu kidogo then muoke!!utamfaidiNje ya mada kuku wa kisasa kanishinda jamani hana ladha hata kidogo km unakula sponji
Ndio hiyohiyo mchemsho!Ukitaka kufaidi sio upike soup,
Tengeneza mchemsho af rudi hapa kutupa mrejesho.
Huyo mdudu ni hatari! Kuanzia pua,.masikio, kwato.
daah.... acha tu, hapo bado hujagusa nyama kusudiwa!
Hivi kati ya nguruwe na Kuku nani nyama yake ilianza kuliwa na Binadam.Ukijibu hapa,Jibu Ndio Hilo Hilo.Naamini karibia kila aliyewahi kula kitimoto, alishakula pia na nyama ya kuku wa kienyeji!
Kati ya hivyo vitoweo viwili: kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?
Leo mahi atakoma lazima mifuko itoboke ili wauzaji waneemeke, mahi anafaida lukuki sio kwenye ulimi tu ila hata kiafya ya akili na mwili, mahi analika hadi mfupa, mahi mwenyewe lainii hamalizi umeme, gesi wala mkaa kaumbwa na mafuta yake viungo hata usipoweka harufu yake yatosha, jamani mahiii wetu kabarikiwaMy kaumbwa akaumbika🤣🤣 Na kamkia kadogo akapewa. Nyiee Mai wetu jaman. 🤣🤣 matee yamejaa
kumbe!!!Ukiwa mgeni humu unaeza kudhani hapa zinaongelewa nyama.