Kati ya kitimoto na kuku wa kienyeji, ipi tamu zaidi?

My kaumbwa akaumbika🤣🤣 Na kamkia kadogo akapewa. Nyiee Mai wetu jaman. 🤣🤣 matee yamejaa
Leo mahi atakoma lazima mifuko itoboke ili wauzaji waneemeke, mahi anafaida lukuki sio kwenye ulimi tu ila hata kiafya ya akili na mwili, mahi analika hadi mfupa, mahi mwenyewe lainii hamalizi umeme, gesi wala mkaa kaumbwa na mafuta yake viungo hata usipoweka harufu yake yatosha, jamani mahiii wetu kabarikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…