Kati ya Livingstone Lusinde wa CCM na Tambwe Hiza wa CHADEMA nani anaongoza kwa madongo?

KUMBE TAYARI UNAYO JIBU LA SWALI LAKO, SASA UMELETA JUKWAANI LA KAZI GANI
 
hahaha Lowasa anasema wamepata dume......sasa najiuliza huko chadema kuna majike?
 
Wekeni kwanza hayo maneno tuyapime hapa
 
Wewe jamaa una akili fupi sana,
 
Mimi ni chadema pure tangu mwaka 2009 ila km ni kura ningempa living stone lusinde,ana maneno ya shombo mno,choo cha soko kina afadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…