Kati ya mahindi na alizeti kilimo kipi kinalipa?

Kati ya mahindi na alizeti kilimo kipi kinalipa?

Mkuu vipi mrejesho?
Mkuu mrejesho ni kama ifuatavyo;

Nauli 60,000
mifuko-100*700=70000
turubali=3*28000=84000
wavunaji =20000*10=200000
Kupiga piga nguvu kazi 70000
mashine ya kupukuchua 1500kwa gunia@80=120000
Usafirishaji mzigo baada ya kazi=1200*80=96000
Uhifadhi tsh 200000
MENGINEYO 150000
Jumla 1,050,000

Jumla ya garama zotekuanzia mwanzo mpaka mavuno ilikuwa 2,909,000/=

Mapato yalikuwa gunia 8 kwa ekari moja; kwa heka 10 ilikuwa gunia 80.
Nliuza kwa bei ya 70,000 mwishoni mwa june 70,000x80=5,600,000.

Faida halisi ilikuwa Tsh2,691.000.
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Mkuu uliichoandika hapa hakina uhalisia mahindi ukitumia laki saba gharama AF uuze gunia bei hio hupati faida maisha alaf ekar moja huwezi pata gunia 25 kama ulivyo andika mm mwaka huu ndio navuna sasa hivi bei sio mbaya sana
 
Kila zao linalipa inategemea na soko pamoja na gharama za uzalishaji
 
Binafsi naamini mazao yote mawili yanalipa kinachotakiwa ni kuvumilia hadi msimu bei inapo kaa vizuri

Binafsi nimeanza kulima serious mwaka huu na nimeanza na ALIZETI kwasababu ya unafuu kidogo wa gharama za ulimaji

Alizeti mwaka huu mbegu bora na nzuri zimeuzwa kwa bei nafuu sana from elfu35 to elf7 kwa mfuko wa 2kg

Alizeti haihitaji sana mbolea kama shamba lako sio kichanga na pia haihitaji viatilifu kama mahindi

Alizeti ina palizi moja tu tofauti na mahindi palizi kuanzia 2

Gharama ya kutunza mahindi kwa miezi kadhaa ni kubwa kwasababu utahitaji mifuko maalum kuanzi sh 8,000 kwa mfuko wakati mifuko ya alizeti ni 500 tu

Pamoja na hayo wajuzi wengi wanasema Mahindi yanakuaga na faida zaidi ila mtaji wake ni mkubwa zaidi kama nilivyo ainisha hapo juu
Sasa kama mtaji ni mkubwa,faida inakuwaje kubwa tena?.
 
Vyote vinalipa tena sana muhimu ni soko ujue nikivuna naenda muuzia nani?

Alizeti inaweza kuwa na bei kuliko mahindi lakini ukikosa soko ukajikuta unakaa

na mzigo muda mrefu gharama za utunzaji zinaongezeka mpk unakuja kuuza uktoa matumizi faida inayobaki

bora hata ungelima mboga za majani,mahindi kadhalika yanaweza kuwa na faida kuzd alizet lakini formula n ile ile Una uhakika utamuuzia nani baada ya kuvuna?

Swali la muhimu kwenye Kilimo sio Faida, swali ni Je nikivuna namuuzia nani? kumbuka kilimo inatoa bdhaa zinazo oza zinahtaji matunzo na usmamiz mkubwa sana ili ziendelee kubaki bora muda wote kbla hazijamfkia mteja.

sasa umejiandaaje kwenye eneo hilo? Usi tazame faida kwenye kilimo utapasuka kichwa ubongo umwagike chini, Hii thread yako nilitegemea ungeuliza Kati ya Kilimo cha alizeti na mahindi Zao lipi lina uhakika wa wateja wa haraka?

Ukshajua zao ambalo hutochukua round ushauza shamba zima hilo ndio zao la kulima bila kujali faida n ndogo au kubwa, biashara tunasemaga ni heri sh 100 ya kila siku kuliko 10k ya mara moja kwa miezi miwili.

Calculate hasara na faida za kulima mazao husika na macho yako yasikomae kwenye FAIDA (pesa tu) yakomae engo zote.

NATUMAINI ushawahi kutana na watu wanalima halafu kwenye kuvuna Huo mwaka kila mtu anavuna vizuri, yani mnakutana sokoni kila mt shamba limejibu, Ndio yalee yakuja kuskia mafuta ya alizeti kdumu cha lita 5 hadi 7000,wakat saivi hujaanza kulima kdumu cha lita 5 unaambiwa ni 40,000 mate yanakutokaaaa Lima sasa uone utamu wake.

Kumbuka hulimi peke ako,hesabu hizi huzipgi peke ako na wakulima wengi hupga hesabu sawa vichwan n wachache sana huwa tofaut ila wengi hesabu zao n 1+1=2 woteeee wako hvyo.

Mkuu usifurahishwe na hesabu za makaratasi utazopgiwa hapa, hebu fanya zako utafiti ujue Zao lipi kati ya hayo ukilima una uhakika wa Wateja muda wowote utakao vuna,bila kujali utavuna wakat gani muhimu uwe na wateja UHAKIKA.

Lima ukiwa tayari unajua unaenda muuzia nani,sio ulime kuja tegemea faida huko masokoni, Kilimo n biashara za msimu ukshajua hilo ujue hata Faida zake zipo hvyo hvyo Kimsimu msimu.

Tujibu swali la thread yako ki theory theory, Alizeti inalipa kinoma nomaaa Asikwambie mtu Mkuu alizeti huwezi ifananisha na Mahindi.Nimemaliza Boss.
Duh!Ubarikiwe.
 
Kama hizi hesabu ziko sahihi kwanini watu wengi hukimbilia kulima mahindi na si alizeti? Mm Nina mashaka na hesabu zako!!! Mana tungekuwa hatuna changamoto ya mafuta nchini
Kaka!Wakulima wengi ni watu wasiyo na elimu sahihi ya kilimo cha hesabu.Mkulima yeye uangalia idadi ya magunia na siyo thamani ya zao husika.Hii ndiyo sababu ya mkulima kulima mahindi zaidi kwa sababu atavuna gunia nyingi ukilinganisha na gunia chache zipatikanazo katika alizeti.
 
Kilimo cha PDF hichi
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
NYIE!!!!kilimo kina faida sana ukiwa hauko field....ingia sasa ndo utajua songombingo zake!kilimo hakitak matarajio makubwa,utakufa mapema!
 
Tuko bize saivi tunapanda zetu pia Tunapalilia, wew tuachee kwanza tutaongea badae
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Asante naomba kujuzwa alizeti inachukua mda Gani toka kupanda Hadi kuvuna??
 
Hizi ni hesabu za kwenye makaratasi na haswa hapo kwenye mavuno kwa eka moja

Angalau mahindi ukijitahidi utafukuzia gunia 15 kwa eka
Na hapo umekaza kweli kweli

Alizeti kupata gunia 10 kwa eka inahitaji miujiza aisee
Sijawahi kupata zaidi ya gunia 5 kwa eka
Pole mkuu. Inategemea mbegu uliopanda msimu na uangalizi wa shamba lakini alizeti ina faida kubwa kuliko mahindi
 
Gharama za uzalishaji wa mahindi kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano)
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu:4@12000=48,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi ya kwanza
Kupalilia:50,000 palizi ya pili
Sumu ya viwavi vamizi: 10,000
Mbolea ya kupandi: mfuko1@110,000
Mbolea ya kukuzia:mfuko 1@ 115,000
Kuvuna:40,000
Kupiga piga (Threshing):40,000
Usafirishaji.70,000
Gharama zingine:30,000
Sumu ya kutunzia mahindi 10,000
Jumla 700,000.
Matarajio ya mavuno gunia 25-30
Bei ya wastani ni 45,000 kwa gunia.
Kipato 1,125,000 hadi 1,350,000

Faida. 425,000 hadi 650,000

Kwa zao la Alizeti

Gharama za uzalishaji wa alizeti kwa ekari.( Gharama zingine zinaweza kupungua au kuongezeka kidogo kutokana na maelewano).
Kusafisha shamba masalia ya msimu uliopita:30,000
Kulima:elfu 50,000
Mbegu: elfu 35,000
Kupanda:25,000
Kupalilia:55,000 palizi moja
Mbolea awamu moja 110,000
Kuvuna: 40,000
Kupiga piga:40,000
Usafiri: 70,000
Gharama zingine 30,000
Jumla 475,000
Matarajio ya mavuno gunia 15-20
Bei ya gunia wastani 100,000.
Kipato 1,500,000 hadi 2,000,000.
Faida 1,000,000 hadi 1,500,000.
Bado mashudu ukiuza yataongeza kipato

Hivyo Alizeti ina faida kubwa kulinganisha na mahindi, tena haina usumbufu mwingi.
Nawasilisha.


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app

Umechanganua vizuri lkn hapo kwenye kiasi cha mavuno cha alizeti hapajakaa sawa kwa uzoefu alizeti chotara waweza toa 7 mpaka 12 gunia za 60 to 70kg na kwa mbegy opv 4 to 7 za 65 to 70kg.
Lkn pia faida ya alizeti ni ukikamua mafuta na sio kuuza kama grain.
 
Back
Top Bottom