Kati ya Malindi na Yanga ni yupi mkubwa kimataifa?

Kati ya Malindi na Yanga ni yupi mkubwa kimataifa?

Yani seriously kihistoria unailinganisha Malindi na Uto? Uto size yao ni Biashara United na IHEFU. Uto hawamgusi hata Namungo.

Siku nyingine anzisha thread zenye mashiko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa mbuzi ukiwatajia anga la kimataifa tu, wana nyongea kinyama yani.
 
Hamna akili wote....wa Tanzania tuna laana...cdhani UK wanaweza jadili upumbavu kama huu.....hii thread ni hovyo
 
Mkipata jibu msionge nasi kabisa kuhusu ukubwa wetu kimataifa! Kumbe Mwaka 1995 Malindi(Zanzibar) iliwahi kufikia hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya Etoile du sahel na kutolewa Kwa penati 4-3, heh!

Kumbe kimataifa walishafika mbali hata zaidi ya Yanga( wazee wa Historia) walio wekwa kwenye group moja Mwaka Fulani na akina Gor Mahia na kale katimu Ka Rwanda na wakatoka hata bila pointi! Happy New Year Jamani, Msitowe Povu, kweli inauma eeh! Kati ya Malindi na Yanga Nani mkubwa kimataifa?

View attachment 2066170
kwanza pole kwa kulawitiwa na jinni Kijana Alawitiwa na Jini kwa Miezi Sita halafu issue za Yanga na Malindi zinakuhusu nini wewe KOLO
 
kwanza pole kwa kulawitiwa na jinni Kijana Alawitiwa na Jini kwa Miezi Sita halafu issue za Yanga na Malindi zinakuhusu nini wewe KOLO
Ndicho hicho tunachojua, Yanga mwenye akili kma wewe huwa ukianza Kuongelea Mambo ya kimataifa lazima waje na matusi, make wanajuwa vyema hakuna hoja kama wewe Kenge, uliyekuja na matusi, umeshindwa kuleta data zako kimataifa tufanye comparison na Malindi., Lkn ukaenda kuleta data za matusi, fungua Uzi mpya wa matusi basi tuje huko tulishukie!
 
Back
Top Bottom