Anti Seche na Nina sijui wako wapi siku hiziSalaam,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. Watu kama kina bishanga bashaija, Cathy, rich, mzee jengua, tabia(rip),kibakuli,Nina,swebe,anti seche, Dr. Cheni, kisa, mhogo mchungu etc. Walikonga nyoyo za mashabiki wengi wa tasnia hii. Swali linakuja, je katika makundi yote haya unahisi kundi gani lilitisha zaidi na waigizaji gani walikukosha zaidi? Hebu tutiririke.....
Alikuwa anavuta bangi, Ananunua pale white star mwananyamala.Dah enzi hizo wakina nora na nina miongoni mwa mabinti waliokuwa wazuri sanaaa.
Nora akiongea na ile ongea yake ya kudeka na macho yake ya kulegea walah utampenda.
Ila nora alikuwa mzuri sanaaaaaaaa.
Those are the days..!!
halijatokea kundi bora kama KaoleSalaam,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. Watu kama kina bishanga bashaija, Cathy, rich, mzee jengua, tabia(rip),kibakuli,Nina,swebe,anti seche, Dr. Cheni, kisa, mhogo mchungu etc. Walikonga nyoyo za mashabiki wengi wa tasnia hii. Swali linakuja, je katika makundi yote haya unahisi kundi gani lilitisha zaidi na waigizaji gani walikukosha zaidi? Hebu tutiririke.....
White elephantSalaam,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. Watu kama kina bishanga bashaija, Cathy, rich, mzee jengua, tabia(rip),kibakuli,Nina,swebe,anti seche, Dr. Cheni, kisa, mhogo mchungu etc. Walikonga nyoyo za mashabiki wengi wa tasnia hii. Swali linakuja, je katika makundi yote haya unahisi kundi gani lilitisha zaidi na waigizaji gani walikukosha zaidi? Hebu tutiririke.....
Duuh, miaka imeenda aicee, halafu kuna TAUSI huu ulikuwa mchezo wa huko Mombasa ila ulipata mashabiki wengi sanaa TanzaniaMwishoni mwa tisini na mwanzoni mwa elfu mbili huwezi amini miaka ishirini sasa
Enzi hizo walikua moto kina rich,bishanga, aisha, mm abdul, secky,dokii,dotnata, abiola,waridi,monalisa, natasha aisee ni kitambo snKaole ungewafananisha na mambo hayo ya akina bishanga
Kina kibibi, linda, kalumanzira, baraza, tina, joto,bi zuri.Duuh, miaka imeenda aicee, halafu kuna TAUSI huu ulikuwa mchezo wa huko Mombasa ila ulipata mashabiki wengi sanaa Tanzania
Akina Mzee Kasri (Marehemu), Siti Bint Kasri (Marehemu), Mjuba n.k
hakika wewe utakuwa Chokoraaa damuKina kibibi, linda, kalumanzira, baraza, tina, joto,bi zuri.
Linda ndiyo alikuwa chokoraa damu siyo.Kina kibibi, linda, kalumanzira, baraza, tina, joto,bi zuri.
Hahaha Liverpool chaliiiMambo Hayo - nilikuwa napenda segment ya joti na Mpoki.
Kaole walikuwa ni all round team, nadhani kwa kipindi kile ukizungumzia kundi, Kaole lilikuwa kundi la mfano.
Kidedea kuna igizo ambalo Jengua ali-act kama Baba yao kina Tabia, ule mchezo ulibamba sana.
Eeeh alikua chokoraa rfk yake ndo huyo joto sijui. Hlf alkw sijui anatokewaga na mzimu wa mm akeee 😂😂Linda ndiyo alikuwa chokoraa damu siyo.
Eeh tabia alikua mtukutu kweliMambo Hayo - nilikuwa napenda segment ya joti na Mpoki.
Kaole walikuwa ni all round team, nadhani kwa kipindi kile ukizungumzia kundi, Kaole lilikuwa kundi la mfano.
Kidedea kuna igizo ambalo Jengua ali-act kama Baba yao kina Tabia, ule mchezo ulibamba sana.