Kati ya mambo hayo, Kidedea na Kaole nani walibamba zaidi tasnia ya michezo ya kuigiza?

Kati ya mambo hayo, Kidedea na Kaole nani walibamba zaidi tasnia ya michezo ya kuigiza?

Salaam,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. Watu kama kina bishanga bashaija, Cathy, rich, mzee jengua, tabia(rip),kibakuli,Nina,swebe,anti seche, Dr. Cheni, kisa, mhogo mchungu etc. Walikonga nyoyo za mashabiki wengi wa tasnia hii. Swali linakuja, je katika makundi yote haya unahisi kundi gani lilitisha zaidi na waigizaji gani walikukosha zaidi? Hebu tutiririke.....
Anti Seche na Nina sijui wako wapi siku hizi
 
Dah enzi hizo wakina nora na nina miongoni mwa mabinti waliokuwa wazuri sanaaa.

Nora akiongea na ile ongea yake ya kudeka na macho yake ya kulegea walah utampenda.
Ila nora alikuwa mzuri sanaaaaaaaa.

Those are the days..!!
Alikuwa anavuta bangi, Ananunua pale white star mwananyamala.
 
Salaam,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. Watu kama kina bishanga bashaija, Cathy, rich, mzee jengua, tabia(rip),kibakuli,Nina,swebe,anti seche, Dr. Cheni, kisa, mhogo mchungu etc. Walikonga nyoyo za mashabiki wengi wa tasnia hii. Swali linakuja, je katika makundi yote haya unahisi kundi gani lilitisha zaidi na waigizaji gani walikukosha zaidi? Hebu tutiririke.....
halijatokea kundi bora kama Kaole
 
Salaam,
We can all agree that michezo ya television for now imepoteza taste kabisa si kama zamani. Enzi zile hadi wazazi walikua wakifuatalia michezo hii. Watu kama kina bishanga bashaija, Cathy, rich, mzee jengua, tabia(rip),kibakuli,Nina,swebe,anti seche, Dr. Cheni, kisa, mhogo mchungu etc. Walikonga nyoyo za mashabiki wengi wa tasnia hii. Swali linakuja, je katika makundi yote haya unahisi kundi gani lilitisha zaidi na waigizaji gani walikukosha zaidi? Hebu tutiririke.....
White elephant
 
Mpaka ukitafuta filamu au tamthiliya yoyote, kama kuba aliyepitia kaole, lazima asumbue.
 
Duuh, miaka imeenda aicee, halafu kuna TAUSI huu ulikuwa mchezo wa huko Mombasa ila ulipata mashabiki wengi sanaa Tanzania

Akina Mzee Kasri (Marehemu), Siti Bint Kasri (Marehemu), Mjuba n.k
Kina kibibi, linda, kalumanzira, baraza, tina, joto,bi zuri.
 
Mambo Hayo - nilikuwa napenda segment ya joti na Mpoki.

Kaole walikuwa ni all round team, nadhani kwa kipindi kile ukizungumzia kundi, Kaole lilikuwa kundi la mfano.

Kidedea kuna igizo ambalo Jengua ali-act kama Baba yao kina Tabia, ule mchezo ulibamba sana.
Hahaha Liverpool chaliii
 
Mambo Hayo - nilikuwa napenda segment ya joti na Mpoki.

Kaole walikuwa ni all round team, nadhani kwa kipindi kile ukizungumzia kundi, Kaole lilikuwa kundi la mfano.

Kidedea kuna igizo ambalo Jengua ali-act kama Baba yao kina Tabia, ule mchezo ulibamba sana.
Eeh tabia alikua mtukutu kweli
 
Mambo hayo walikuwa safi sana.

Kaole wengi walikuwa wahuni.

Kidedea walikuwa hawaeleweki ni makelele sana.
 
Back
Top Bottom