Kati ya Manyoni, Mpanda na Morogoro (Ifakara, Mvomero na Gairo) ipi sehemu ya kutoboa kimaisha?

Kati ya Manyoni, Mpanda na Morogoro (Ifakara, Mvomero na Gairo) ipi sehemu ya kutoboa kimaisha?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Wakuu mimi ni mtumishi aisee huku niliko Tanga mambo magumu nahisi kutoboa itachukua muda sana wakuu sasa nataka nichague sehemu kama tatu hivi kati ya mkoa wa morogoro (Gairo, Mvomero au Ifakara), Mpanda na Manyoni ipi ni sehemu mzuri kutoboa? Wakuu hasa hasa kwenye kilimo na kuuza maduka ya madawa.

Mimi ni mtumishi wa Afya wizara ya tam
 
njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi

kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki


kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka

Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...

yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Umemaliza kila kitu .. hayo maeneo mengine ni njaa tupu..
 
Mpanda hapana aisee, pamepoa
Heri morogoro,

Ukizingatia ni eneo lenye mvua nyingi magonjwa pia yanakuwepo sana ko utapiga hela kwenye kuuza dawa
Pia kilimo kinakubali ingawa ukilima kama wenyeji unaweza kuwa maskini
 
Ndugu,kwa kilimo tazama wepesi wa usafirishaji kwenda sokoni mfano Gairo pamekaa vizuri sana.Baadhi ya maeneo ni mazito kwa sababu ya umbali kutoka saiti hadi sokoni.
 
Hu
njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi

kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki


kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka

Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...

yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
ko kuna wafugaji? Wasukuma na wamasai?
 
Back
Top Bottom