Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Wakuu mimi ni mtumishi aisee huku niliko Tanga mambo magumu nahisi kutoboa itachukua muda sana wakuu sasa nataka nichague sehemu kama tatu hivi kati ya mkoa wa morogoro (Gairo, Mvomero au Ifakara), Mpanda na Manyoni ipi ni sehemu mzuri kutoboa? Wakuu hasa hasa kwenye kilimo na kuuza maduka ya madawa.
Mimi ni mtumishi wa Afya wizara ya tam
Mimi ni mtumishi wa Afya wizara ya tam