Kati ya Manyoni, Mpanda na Morogoro (Ifakara, Mvomero na Gairo) ipi sehemu ya kutoboa kimaisha?

Kati ya Manyoni, Mpanda na Morogoro (Ifakara, Mvomero na Gairo) ipi sehemu ya kutoboa kimaisha?

njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi

kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki


kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka

Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...

yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Vp maduka ya madawa papoje?
 
Mkuu
Wakuu mimi ni mtumishi aisee huku niliko Tanga mambo magumu nahisi kutoboa itachukua muda sana wakuu sasa nataka nichague sehemu kama tatu hivi kati ya mkoa wa morogoro (Gairo, Mvomero au Ifakara), Mpanda na Manyoni ipi ni sehemu mzuri kutoboa? Wakuu hasa hasa kwenye kilimo na kuuza maduka ya madawa.

Mimi ni mtumishi wa Afya wizara ya tam
Mimi nimetoka morogoro na kuja kupiga kambi manyoni, kwa ufugaji hasa wa kuku karibu manyoni, kwa kilimo pita morogoro, manyoni kilimo ni gharama sana,
 
Kila sehemu uliyotaja ni nzuri sana endapo unafocus na plan zako haitokuchukua miaka mingi kusimama imara isipokuwa kwa uzoefu wangu

Mpanda, pamepoa sana. Mlipuko wa magonjwa na muingiliano na wakimbizi ni mkubwa sana lakini pia usalama wa afya na mali ni mdogo

Ifakara, kipindi cha mvua utapachukia mno maana sio kwa mafuriko yale, pia huduma za afya ni mbovu sana. Joto ndiyo balaa

Gairo, pamepoa sana, wenyeji wana wivu sana, vumbi la pale utalikimbia, mpangilio mbaya wa mji, vyakula havieleweki

Mvomero, nilichoshwa na mafuriko tu ila kila kitu bye sana

Nb:
Pafikirie na Kahama na maeneo jirani na pale ni wilaya nzuri sana na inatoa kimaisha chap tu ukiwa bz na unachokifanya
 
njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi

kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki


kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka

Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...

yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Maeneo ya kununua yapo?

Vp bei zake kwa heka?
 
njoo mvomero kaka
fursa ni nyingi

kilimo ha miwa
kilimo cha mbaazi
Tunalima kokoa
Tunalima Iriki


kilimo cha mahindi ni misimu miwili kwa mwaka

Tuna mabonde ya kulima mpunga mud wote ...

yaani in short. ukija mvomero kutoboa ni nguvu zako mwenyewe.
Nakubali mkuu.
 
Ya
Kila sehemu uliyotaja ni nzuri sana endapo unafocus na plan zako haitokuchukua miaka mingi kusimama imara isipokuwa kwa uzoefu wangu

Mpanda, pamepoa sana. Mlipuko wa magonjwa na muingiliano na wakimbizi ni mkubwa sana lakini pia usalama wa afya na mali ni mdogo

Ifakara, kipindi cha mvua utapachukia mno maana sio kwa mafuriko yale, pia huduma za afya ni mbovu sana. Joto ndiyo balaa

Gairo, pamepoa sana, wenyeji wana wivu sana, vumbi la pale utalikimbia, mpangilio mbaya wa mji, vyakula havieleweki

Mvomero, nilichoshwa na mafuriko tu ila kila kitu bye sana

Nb:
Pafikirie na Kahama na maeneo jirani na pale ni wilaya nzuri sana na inatoa kimaisha chap tu ukiwa bz na unachokifanya
Eah kahama ipo poa sana! Ila kwa mazingira ya vijijini kahama papoje? Hususani kwenye maduka ya dawa mkuu
 
Ila sehemu
Kila sehemu uliyotaja ni nzuri sana endapo unafocus na plan zako haitokuchukua miaka mingi kusimama imara isipokuwa kwa uzoefu wangu

Mpanda, pamepoa sana. Mlipuko wa magonjwa na muingiliano na wakimbizi ni mkubwa sana lakini pia usalama wa afya na mali ni mdogo

Ifakara, kipindi cha mvua utapachukia mno maana sio kwa mafuriko yale, pia huduma za afya ni mbovu sana. Joto ndiyo balaa

Gairo, pamepoa sana, wenyeji wana wivu sana, vumbi la pale utalikimbia, mpangilio mbaya wa mji, vyakula havieleweki

Mvomero, nilichoshwa na mafuriko tu ila kila kitu bye sana

Nb:
Pafikirie na Kahama na maeneo jirani na pale ni wilaya nzuri sana na inatoa kimaisha chap tu ukiwa bz na unachokifanya
Ambazo kuna magonjwa mie ninapo hitaji ili nipige hela kwenye madawa
 
Back
Top Bottom