Kati ya Marekani na China, wapi ni bora kifursa?

Kati ya Marekani na China, wapi ni bora kifursa?

Huwezi kwenda ukapata kazi au biashara ya maana China, Marekani ina fursa nyingi za kazi unazoweza kufanya nchini mwao. Pia suala lingine sio rahisi mbongo kuishi kwenye utamaduni wa China. Mengine muulize Xi Jinping
China kuna fursa kubwa ya kupata bidhaa za kila aina kwa bei nafuu na kuleta Tanzania kufanya biashara
 
China walala hoi hao.

Tena usirudie kulinganisha USA na China.

Unaishusha hadhi USA.

USA ni Dunia.

Hailinganishwi wala kufananishwa na nchi yeyote ile.
 
China walala hoi hao.

Tena usirudie kulinganisha USA na China.

Unaishusha hadhi USA.

USA ni Dunia.

Hailinganishwi wala kufananishwa na nchi yeyote ile.
Sema ni kweli asee

China kule sio kwa fursa
Wachina wamejazana bonho kuuza kahawa
Ila kwa bidhaa bei chee za kuuza bongo ndo unyama
 
Bora Marekani mara mia, nenda China uone wananchi wa kawaida walivyo hoi.
 
Back
Top Bottom